Manchester United (Red Devils) | Special Thread

But did you just say above that DM should not be blamed for players' ugoro?

Arifu, naamini una uwezo wa kuelewa tofauti katika maswali na majibu.

Wewe, uliniuliza, kwanini Adnan hakuanza, mimi nikakujibu, muulize DM.

Sasa hilo jibu, linahusiana vipi na mimi kusema kocha asilaumiwe kwa uchezaji mbovu wa timu?

Wachezaji ndiyo walaumiwe, lakini hilo halinifanyi kushindwa kusema majibu katika nani aanze na nani aingie kwa sub ni kazi ya DM.

Wachezaji walioanza, DM aliona wanafaa kutokana na mazoezi ya timu, hivyo kushindwa kwao kucheza vizuri, ni lawama kwao pia.
 
Kama hujui mambo ya mpira unakaa kimya yaani unamfananisha rafael na januzaj?rafael ni beki hizo kross anapiga tu kuwasaidia. Huo mtindo wa dm kuua winga ya kulia watu wote anawajaza kati ndio matokeo yake haya eti umtegemee rafael beki wa kushoto ndio awe winga wa kupiga krosi!!. Ujinga mwingine wa moyes ni kila wakati akimtoa rafael watu wanafungia upande huo huo na bado anarudia kosa hilo hilo kila siku hii ni mara ya tatu anampumzisha beki kisiki rafael na watu wanapitia hapo hapo.
im wondering what happened to rafael how come he cant complete even one perfect cross like januzaj did,he must pust extra training in it.otherwise he should forget being called to play for brazilian senior players.
 
kaka mbona umepaniki bila ya sababu ya msingi as a player haijalishi unacheza namba ngapi?? kuna baadhi ya vitu inabidi tu uviweze sijui kama unamuangalia sagna wa arsenal krosi anazopiga au livyokuwa g.nevile mpirawa manu kwa miaka mingi tumekuwa tunategemea krosi so kwa beki za pembeni kuwa na uwezo wa kupiga krosi ni added advantage
 
Wewe ni mmojawapo ulikuwa unamlaumu kuwa Moyes hampi nafasi Rafael
yah nakumbuka hilo mkuu to be honest rafael kwa sasa ananidisapoint ila bado naona ni bora yy acheze 2 kuliko kumchezesha smalling namba 2.
 
beki imeoza balaa, vidic anacheza kama hataki. kimeo tu
 
Kwani si beki hii hii ndio ilicheza wakati wa babu Ferguson

Hata Mata alikuwa best player enzi za AVB,Benitez na Di Matteo but alivyokuja Jose ameonekana flop.Pamoja na weaknesses za Moyes but
most of senior players wanacheza chini ya kiwango sana,hawastahili kuchezea Man United kwa sasa
 
Kwani si beki hii hii ndio ilicheza wakati wa babu Ferguson

kila kocha na formation yake, nadhani moyes hakuangalia upande wa beki kipindi anakuja united, huu ni wakati wa kufanyia mabadiliko kikosi kizima, kuanzia mabeki hadi holding midfielder ndo kubovu. wakipigiwa counter basi tena.

kuanzia no 7 had 11 kupo fresh, ni kuwapa mbinu mbadala sio kupiga cross kama vichaa
 
Ati simu haina charge phew! What a stupid excuse. Mlifikiri EPL ni chandimu ehe? Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee depending on a teenager ...... .... ...

kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kikongwe kapata kifafa baada ya kipigo
 
Hata Mata alikuwa best player enzi za AVB,Benitez na Di Matteo but alivyokuja Jose ameonekana flop.Pamoja na weaknesses za Moyes but
most of senior players wanacheza chini ya kiwango sana,hawastahili kuchezea Man United kwa sasa

.....#Mnaweweseka eehh?!
Hehhehhheehhh.....#DaudiMuya hajajua 1st Eleven yake wala #Sub gani itayombadilishia mchezo!

Ujio wa Mata umeua kabisaaaa "deadly" partnership ya RvP na Rooney....-Fact!

Ujio wa Mata umemfunika dogo alokuwa anachipukia Januzaj - Fact!

Ujio wa Mata unamaana RvP au Rooney mmoja wao awe sub wa mwenziwe, otherwise ni majanga kwa kwenda mbale- Fact!

Mourinho kuwauzia Mata alijua hatakuwa na msaada wowote kwa Man United kwa sasa kinyume na fikra za wengi (too soon too late to build the team around Mata!) - Fact!



.... Belo usisahau kuchaji simu!



#MosQw !to.
 
Last edited by a moderator:

RVP is 31,Wazza 29 but Mata ni 25 while Januzaj ni 19,Unapofanya usajili lazima uwe na long-term na short term.Januzaj bado mdogo inabidi kumwangilia asije kuumia kumbuka Mr Bean alishindwa kumpumzisha Wilshere hadi leo amekuwa spana mkononi hawezi cheza game 4 mfululizo.
Since Mata amekuja kacheza game 3 na ametoa assist 3,kila game ametoa assist moja na RVP amefunga goli
3 kwenye game 3 tangu Mata atue

Kuhusu Rooney nafikiri ulimuona juzi alivyokimbia toka mbele kuja kuokoa goli.Rooney hata beki anacheza workrate yake ni kubwa

Jose amemuuza Mata United sababu dau lilikuwa kubwa na ili Chelsea waweze kufit FFP,Jose aliambiwa hela za usajili hakuna so ilikuwa lazima auze ili anunue wachezaji wake wanaojua kukaba

Tatizo letu kubwa ni defensive midfielder na defenders.Ukitushambulia hukosi goli.Mata,RVP na Rooney hawa wana rekodi nzuri na Arsenal aka 86.5 na wote tunawaanzisha leo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…