Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chief simu inauwezo ila app siioni na ukiinstall inaandika Done tofauti na apk nyngne zinaonesha (open na done) any alternative
Jaribu 32bit version

Pia angalia kama una version ya zamani itoe kabla ya kuweka hii.
 
Wakuu ninatazo upande wa picha.
Natumia Samsung S9, zamani picha zilikua zinafunguka, ila kwa sasa hazitaki kufunguka, bado sijajua tatizo ni nini?

Leo ni week sasa, hilo tatizo naliona.

Naombeni msaada wenu, upande wa picha naukosa utamu.
 
Nicolo Barrela anafaa sana kuliko De Jong, dogo ameshabembelezwa sana kama penzi la maskini na mtoto wa kishua.
 
Leo baada ya kuchukua kombe letu la Carabao mashabiki wa Chelsea na Liverpool mtakuwa na jukumu la kuwarudisha nyumbani mashabiki wa Man United, wale wa Arsenal ole wenu tukifika banda umiza tukute viti vichafu, haiwezekani muje kuona mechi yetu halafu tusiwape kazi, tumewaita?
 
Leo mkipigwa akili zitawakaa sawa maana mnaongea Sana

Naombea Robo fainal Europa watupe nyie

Kelele kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…