Muda ni mwalimu mzuri.Issue mashabiki mnajifanya mnajua sana, kwamba ETH hajui cha kumfanya Rashford wewe huku unajua?
Rashford ameshaprove mara kibao kwamba yeye ni top player, huwezi kuwa mjinga halafu kila msimu unafunga na kutoa Assist zaidi ya 10 ukiwa unatokea pembeni.
Ngoja msimu uanze tutajioneaKuwa kocha wa taifa ni rahisi kumanage na roles za consultancy kuliko kuwa kocha wa club nyingine.
Kazi ya consultancy ni rahisi kuifanya hata ukiwa nchi ingine permanently.
WC ikiisha wachezaji wanarudi kwenye club zao. Kocha hana kazi tena, anasubiri mechi za kirafiki na michuano mingine.
Kocha wa taifa stars anafanya nini sasa?
Nani anitajie majina ya wachezaji wote hapo pichani👆👆Tunataka vjana wa kazi na roho ngumu uwanjani....ETH Mungu amsaidie sn kila usajili uwe bora na falsafa zake ziimiliki EPL
View attachment 2205080
Nani anitajie majina ya wachezaji wote hapo pichani👆👆
Hawa wahuni umewatoa wapi? Sir AF alifanya kazi kubwa kuwadespline hawa jamaa. Hapo bado Nick Butt na Wes Brown.Tunataka vjana wa kazi na roho ngumu uwanjani....ETH Mungu amsaidie sn kila usajili uwe bora na falsafa zake ziimiliki EPL
View attachment 2205080
Lakini Rashford Ni Msimu Huu Tu Ndo Amecheza Chini Ya Kiwango Tangu Apandishwe Timu Ya Wakubwa.Jombaa, unatoa wapi nguvu ya kumtetea mchezaji mjinga kama Marcus Rashford?
EtH akijokoroga tu aanze ku-renew mikataba ya vilaza kama hawa maisha yake OT yatakuwa mafupi sana.
Mbona Smith umemuacha??Rio Ferdy, Scholes, Rooney, O'Shea
Yupo Nistelrooy na Park Nyuma ya Oshea pia.Mbona Smith umemuacha??
YeahYupo Nistelrooy na Park Nyuma ya Oshea pia.
Jamaa wako kala pangaMatt Judge resigns from role as Manchester United’s head of corporate development
By David Ornstein
April 29, 2022Updated 7:44 PM GMT+3
6
[data:image/svg+xml,%3csvg%20xmlns=%27http://www][https://theathletic]
Matt Judge has resigned from his position as Manchester United’s head of corporate development, The Athletic can reveal.
It is believed that Judge is currently working out a notice period prior to an expected departure later this year. He is not expected to play an active role in the summer transfer window.
Judge is thought to have been considering his position in recent weeks amid a series of structural changes at Old Trafford, including the April departure of executive vice-chairman Ed Woodward.
Sources say his departure was amicable between both parties.
Judge was responsible for negotiating transfers and contracts for Manchester United.
He had been involved in United’s transfer business since the summer of 2014.
Judge had previously been described by former manager Louis van Gaal as Woodward’s “right hand” and has long been one of the most influential figures at the Premier League club.
His exit comes after The Athletic broke the news that chief scout Jim Lawlor and head of global scouting Marcel Bout were also exiting Old Trafford.
United are currently undergoing a backroom reshuffle.
John Murtough now has full control of the football operations and has driven some of the changes as he seeks to help turn the club’s fortunes around.
Key to those changes will be the appointment of Erik ten Hag, who was appointed as Ole Gunnar Solskjaer’s permanent successor earlier this month.
The club still plan for interim manager Ralf Rangnick to move into a consultancy role.
Rangnick was announced as Austria’s next national team manager at a press conference on Friday.
(Photo: Getty Images)
Matt Judge resigns from role as Manchester United’s director of football negotiations
Matt Judge has resigned from his position as Manchester United’s director of football negotiations, The Athletic can reveal. It is believed that Judge is currently working out a notice period prior to an expected departure later this year. He is not expected to play an active role in the summer...theathletic.com
Haya waweke sokoni ss uone utofauti wa takwimu na uhalisia.Rashford ana Goli 6 mechi 6 msimu uliopita UCL, na kakutana na Mbape kamfunika Mechi zote 2, jumla alicheza dakika 416
Mbape Ana goli 8 UCL amecheza mechi 10 jumla Dakika 900
Fanya Homework, Gawanya 900 kwa 8 na 416 kwa 6 utapata jibu unalolitaka.
hii habari inaondoa maumivu yote ya kukosa top 4 kama tulichokuwa tunajiaminisha kina ukweli. Huyu mzee kawapa mikataba ya kufuru kina antony martial, rashford, jones , lingard, david degea, n,k kwa mgongo wa ed woodward. I'm happy.Ikiwa kweli itakuwa poa sana.View attachment 2205141
nakuona muda huu ukiwa hoteli ya nyota 5 ukifurahia hii taarifa, teh teh teh. Wage bill structure isi loadingiiJamaa wako kala panga
sawa ila yeye tunaona waziwazi anavyochemka kila mechi afadhali ya wengine na bado mnamtetea na kumsifia anauwezo uka huo uwezo kila siku unashuka badala yakuongezekaThat still Explain nothing Mkuu, Unamuonaje Varane wa Sasa? Sancho wa sasa? Mc tominay wa sasa? Bruno wa sasa? Even hata Huyo Ronaldo, wachezaji wachache sana utasema wana perform kwa level yao, Ukitoa Fred sijui nani mwengine.
Coincidence? No. Akicheza Rashford sisi wabovu, asipocheza Rashford vile vile ni Wabovu, Akiwepo Maguire Tunacheza Vibaya na Asipokuepo Maguire pia Tunacheza Vibaya.
Kutafuta Excuse na kuridhisha Nyoyo Zetu tunatafuta Ng'ombe wa Kafara, tumponde wee, then zigo lote la lawama Tumuangushie yeye. Kifupi mfumo Tunaocheza sasa haufit wachezaji wetu, na Viwango vyao vya sasa Havireflect uwezo wao Halisi.
kuna smith na ruud van ! nani anamkumbuka chadwick ? alikuaga anaingia sub anacheza winga ya kuliaRio Ferdy, Scholes, Rooney, O'Shea
Kwamba sokoni ndio kunaonesha kiwango cha mchezaji? Mbape akiondoka msimu huu kwenda Madrid anaondoka Bure je ni Mchezaji mbovu?Haya waweke sokoni ss uone utofauti wa takwimu na uhalisia.
Mtoe Fred na Ronaldo na De gea, nani yupo vizuri?sawa ila yeye tunaona waziwazi anavyochemka kila mechi afadhali ya wengine na bado mnamtetea na kumsifia anauwezo uka huo uwezo kila siku unashuka badala yakuongezeka