Angesubiri msimu ukaisha Ili kuepusha kisingizio ndo akachukua timu,Mbona kina Zidane waligoma.Mbali na Ivo,mbona Spurs inafanya vizuri licha ya kocha mpya na wachezaji ni wale wale? Aston villa,licha ya kukutana na vigogo lakini imeonesha Kuna kitu tofauti na mwanzo. Kwanini RR??