Manchester United (Red Devils) | Special Thread

RR kafanyaje ss, timu inacheza vizuri tofauti na mwanzo au huoni?
 
Naomba tu na mimi leo niseme hili Maguire tumepigwa tena mchana kweupe. Sijui kitu gani kinamfanya bado anapangwa ni kitambaa au nini? Yani dakika za mwisho mtu wa nyuma yake anapiga kichwa yeye anaangalia wapi sijui dah.
 
Kushambulia ni mfumo na jana nmeanza kuona pattern ya jinsi tunashambulia na kutafuta goal...kikubwa wachezaji wamuelewe kocha RR.


NB: nasikia kocha analalamika wachezaji mazoezi magumu hawawezi...ngonj tusubrie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…