Sijaona beki mpumbavu kama Maguire pale England, hili goli ni lake, pale beki mwenye akili anautoa uwe wa kurusha yeye katoa kona wakati kulikuwa hakuna sababu ya kufanya hivyo kabisa.
Maguire hakuna beki cr7 hakuna mchezaji kuna wakati nawaza hata Ole nae hata hatia si kila Game lawama ziwe kwa kocha hapana wachezaji baaadhi hawafai kucheza hana man u MF CR7
Yani Bissaka bana. Kapata mpira eneo la karibia na goli lake badala abutue mbele yeye anataka akimbizane na Vardy. Washindane mbio. Matokeo yake faulo goli.