Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afadhali umesema kama ambavyo huwa namuona huyu jamaa. Hadi anafungisha hilo lilikuwa kosa la pili anafanya.
Kwani tulimpa Bailey mkataba mpya wa nini?
wapumbavu wenziwe watamtetea kwa injury, harry ni kawaida yake kufanya blunder pindi anapokuwa kwenye presha.
leicester city wametuibia mchana kweupe
 
Hii timu mpaka sasa pamoja na tatizo kuu la mwalimu la Laissez faire attitude.

Kuna poor coaching kwenye hii timu huenda hawa jamaa huwa wanaishia kufanya mazoezi ya kukata upepo tu.
 
Naona Leicester wanakabia juu kabisa hii inafanya mabeki wetu kufanya makosa mengi sana, naona dalili zote za kupoteza tena game
ishu si kupata ushindi, kitakwimu za ushindi Ole ni kocha bora.
njia tunazopatia ushindi haziridhishi.

nimewaangalia liverpool kwa dakika 10 mchana wa leo, nimeona aibu kwa jinsi wanavyocheza vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…