Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo Nuno angalia alikutana na kikosi gani na kocha gani mkuu ..kwa sasa kila timu inaogopa kukutana na Chelsea mkuu..
Sisi kwa sasa tunacheza KUKAMILISHA ratiba tu ..maana ubingwa tayari tushabeba kitambo tu na kila mtu adi FIFA wanajua hilo.
CFC
Mimi nakwambia tu "UTAPOTEA HUMU" najua kesho the odds are against Spurs ila HAMTOKI.
 
Mavi ni mavi tuuu, huwezi fananisha United na "Man Shit" ni kuvunjiana heshima.
 
Wakuu huu SANCHOKA tumepigwa mchana kweupeee, kwann tusimchukue willian aje asaidiane na Mnyama CR7 kule mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…