Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 405
pole mkuuItoshe tu kusema nina hasira sana sana...Yaani i'm totally flabbergasted.
Sure thing,sijui solskjaer anamwonea aibu Rashford.Narudia tena sheria sub 3 tu hii ya 5 kipindi hichi cha corona tu kwa maana hiyo kocha hatakiwi kukosea first 11 na pia kocha bora sio anayebadilisha wachezaji tu. Tumeona team kipindi cha kwanza wanacheza vibaya kipindi cha pili walewale wakabadilika. Mimi nataka wapenzi wa Man u tu waseme nani alikaa nje hakucheza jana. Kosa moja nakubaliana kocha hakutakiwa kumtoa yule mtoto Greenwood angetoka Rashford maana Mason uwezo wa kufunga anao na alikuwa tishio kwa kiasi fulani angebadili system tu Rash nje na kuingiza kiungo mmoja ila Pogba asogee mbele hilo ndio kosa lakini sio kubadili wachezaji wa 5.
Ole na man u ni failed project mkuu.....ataendelea kujificha kwenye kichaka cha rebuild hadi mwaka 2024 na hakuna kombe atakalobeba......fainal ya jana ilikuw nyepesi sana tena sana.Ole katumia pound million mia tatu katika mi simu kwa kumaliza bila kombe iko sawa kweli hii ?
Zote zilikua failed project, ipi ilifanikiwa tangu aondoke Fergie?Ole na man u ni failed project mkuu.....ataendelea kujificha kwenye kichaka cha rebuild hadi mwaka 2024 na hakuna kombe atakalobeba......fainal ya jana ilikuw nyepesi sana tena sana.
hakuna project iliyofanikiwa japo mourinho huwezi sema ni filed project maana alitupa europa na kutuweka nafasi ya pili.....Zote zilikua failed project, ipi ilifanikiwa tangu aondoke Fergie?
Ukimpa Ole hiki kikosi, timu inashuka daraja.View attachment 1799023Mourinho alibeba kombe na hichi kikosi
Yani hii timu bwana, inanishangazaga mno aisee 😀 ina wachezaji bus zima la mkoani kutoka Dar kwenda Mwanza linajaa kabisa ukiondoa siti ya dereva 😆 hata Ole Guna hapati siti humo 😅 labda waforce apakatwe na mzee baba Cavani 😂Dirisha la usajili lililopita;
1. Pellistri (Non starter)
2. Amad (Non starter)
3. Van De Beek (Non starter)
4. Cavan (Eventual starter)
5. Telles (Non starter)
Objective ilikuwa nini kuleta wachezaji wote wanaishia benchi tu?
Ole na Man. Utd siyo project iliyofeli, next season project inaendelea tena cha muhimu Ole apewe watu anaowahitaji kama anavyosikika kwenye interview zake kuwa dirisha hili atahitaji karibia watu watatu watakaoanza kikosi cha kwanza.Ole na man u ni failed project mkuu.....ataendelea kujificha kwenye kichaka cha rebuild hadi mwaka 2024 na hakuna kombe atakalobeba......fainal ya jana ilikuw nyepesi sana tena sana.
Kwani kigezo wa kocha bora lazima abadilishe wachezaji? kwangu mimi bado kocha bora kama kapatia first 11 na tactical right dakika 90 yule wakubadili tu basi kakosea kupanga, tuache hili kulikuwa na nani wa kuingizwa toka bench katika wale wachezaji? nimesoma labda kosa kumtoa greenwood badala ya Rash basi hakuna jipya bench.Kwani sisi tunazungumzia kipindi gani, tunazungumzia kipindi hiki cha Corona, sub 5 kwenye muda wa kawaida na sita kwenye extra time
Wewe ukiwa kocha utabugizwa tu kwa sababu una perception mbaya juu ya sokaKwani kigezo wa kocha bora lazima abadilishe wachezaji? kwangu mimi bado kocha bora kama kapatia first 11 na tactical right dakika 90 yule wakubadili tu basi kakosea kupanga, tuache hili kulikuwa na nani wa kuingizwa toka bench katika wale wachezaji? nimesoma labda kosa kumtoa greenwood badala ya Rash basi hakuna jipya bench.
Nime-likeOle na Man. Utd siyo project iliyofeli, next season project inaendelea tena cha muhimu Ole apewe watu anaowahitaji kama anavyosikika kwenye interview zake kuwa dirisha hili atahitaji karibia watu watatu watakaoanza kikosi cha kwanza.
Fainali tuliyofungwa isiwe sababu ya kusahau kazi kubwa aliyofanya Ole msimu huu, yaliyotokea yote ni sehemu ya mchezo. Wote tunajua timu yetu ilikuwa haina uwezo wa kubeba EPL mbele ya City, UCL tulitolewa kwa timu yetu kufanya makosa yanayojirudia kwenye safu ya ulinzi.
Tukirudi kwenye fainali ya Europa ulitaka Ole afanye nini zaidi ili abebe hilo kombe? Kama ni kikosi alipanga kizuri kwa lengo la kutafuta ushindi. Kwenye sub pia alifanya vizuri sana kwa kujua aina ya mchezo na umuhimu wake, Ole alifanya vizuri kama kocha, ulibaki mchezo tu kuamua na wala muda haukuwahi wala kuchelewa Villareal akawa bingwa.