Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Absolutely. Fo sho!
 
Waingereza wanapenda kupigana promo sana

acha na huo utopolo..weka Raphael Varane hapo awe partner na BAILLY uone tutakavyokeep cleansheets za kutosha
Mimi niliwahi kusema hawa ktk recruitment model yetu waingereza tuwawekee red flags.

Tuwekee policy ya kutosajili mchezaji wa kiingereza tuwe tunawapandisha kutoka chini kama Rashford, Greenwood na Henderson.

Hawa watu wapo overrated sana. Hawafanani na thamani zao halisi.
 
Mashabiki wa man u kweli mnaroho ya Paka
 
Mdau wanishangaza upo bize kuiangalia liva kuliko city......sijui lengoni kutwaa ligi au kumaliza nafasi ya pili msimu huu..
Nilitaka kuonyesha dynamism ya ligi msimu huu kuwa kuna muda tulizidiwa point kumi na Liverpool na sasa tunaenda kumzidi kwa point nane yeye..

Kubeba ubingwa hatuwezi,hizi zitakuwa ni hekaya tu tunaziandika humu..tukomae tumalize nafasi ya pili tu.
 
Nilitaka kuonyesha dynamism ya ligi msimu huu kuwa kuna muda tulizidiwa point kumi na Liverpool na sasa tunaenda kumzidi kwa point nane yeye..

Kubeba ubingwa hatuwezi,hizi zitakuwa ni hekaya tu tunaziandika humu..tukomae tumalize nafasi ya pili tu.
Pep ana miaka kumi ya kuiburuza epl anavyotaka.....
 
Mourinho kawa mdebwedo leo hata tusibane mbupu maana ataliwa kirahisi tu na Pep..
Tangu Rui Faria ameachana na Mourinho mwaka 2018 na Mourinho amekuwa na timu dhaifu kuliko kawaida.

Rui Faria kaanza kufanya kazi na Mourinho tangu mwaka 2001 hadi 2018 katika vilabu tofauti tofauti alivyofundisha Mourinho.

Katika kipindi hicho Jose Mourinho alifanikiwa kutengeneza timu imara kweli na kutwaa makombe mengi mpaka kufikia hatua ya kujiita the special one.

Toka ameachana na Rui Faria timu za Mourinho zinabahatisha bahatisha tu.

Je nyuma ya mafanikio ya Mourinho kuna kazi kubwa iliyofanywa na Faria?

Je mporomoko wa sasa wa Mourinho unachangiwa na kukosekana kwa Rui Faria katika benchi lake la Ufundi ?Daemusin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…