Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Ligi itaisha hivi
Manchester United
Evaton
Liverpool
Chelsea.
..................................................
Manchester City
Tottenham
....................................................
Taka taka zingine zitafuatia huko.
Bingwa (Manchester United) atachukua kwa tofauti ya points 5.
Nunua kaniki na tunguli nikutafutie wateja wa ramliLigi itaisha hivi
Manchester United
Evaton
Liverpool
Chelsea.
..................................................
Manchester City
Tottenham
....................................................
Taka taka zingine zitafuatia huko.
Bingwa (Manchester United) atachukua kwa tofauti ya points 5.
Kwahiyo Arsenal ndiyo atachukua ubingwa ?Nunua kaniki na tunguli nikutafutie wateja wa ramli
Nje ya uwanja wake wa nyumbani liverpool asingeweza kumfunga spurs kamwe liverpool nyumban miaka hii 3 kafanya vizur nje ya hapo ni hoi msimu huuUnapaki basi dakika 90 unategemea kuchukua epl
Morhno mbinu zake za hovyo
Crystal palace kachomoa dakika za 80
Liverpool hivo hivo
Westaham walimfunga gori tatu hizo dakika
Leo wolves hizo dakika
Inamaana kocha hayaoni hayo
Zile black nigga za jose, zinakiuwaga hoi
Spurs anafungika hizo dakika, unaweza mpiga hata gori tana
Hivi nyie nyumbu mlifungwa vip na Spurs gori 6
Kudadeki,
Nunua kaniki na tunguli nikutafutie wateja wa ramli
Ah mi sina huo mpango kiukweliNajua pamekuuma hapo namba moja, kama vipi toa Manchester united weka aseno.
Usajili wa wachezaji 2 Man Utd mwezi January utahitimisha ubishi wako.Nunua kaniki na tunguli nikutafutie wateja wa ramli
Arsenal haiwezi kuchukua ubingwa. Man u inachukua?Kwahiyo Arsenal ndiyo atachukua ubingwa ?
YesArsenal haiwezi kuchukua ubingwa. Man u inachukua?
DuhUsajili wa wachezaji 2 Man Utd mwezi January utahitimisha ubishi wako.
Good luck
JonathanGood luck
MarsupialJonathan
Liverpool wakiwa wamelala wkt huo? yeah rightNawambie tu mkiona Man City tumekamata usukani hapo juu, basi mtabaki mnalia nyie na ole na Mungu wenu
Ndio epl itakuwa inaenda etihad namna hio
Hata Kama zitakuwa zimebaki game 10 ,city tukisimama kule juu, mtabaki mnaombea kufugwa sisi tunatoboa tuu
leicester amedroo huko..Soskier usituangushe jmn
Nyie Man Utd mnapendelewa kudadeki
Watu wanakaa siku moja ndio wanacheza game nyie mmepewa siku kibao toka jmosi hadi jnne