Unaacha kuuguza kwenu unahangaika kwenye nyumba za watu. Ona sasa mgonjwa katutoka kiss Uzembe wenu.Kweli tunatofautiana maisha yani watu kwny majukwaa yao wanawazungumzia Atletico Madrid, Monchengladbach, Leipzig lakin kuna watu wanawaZungumzia Real Sociedad.
What an upgrade.
Mambo magumu Sana EPL,,,,
Timu yoyote ile inakuadhibu muda na wakati usiotegemea
Hesabu zinagoma !!
Chelsea wamelambwa Tena ,,,,!!!
Hopefully klopp atadrop points kesho,,,
Mdogo mdogo tutalewana tu ,,,,
Gemu ya liva na spurs draw itakuwa fair results for us, ikibidi liva wakatwe kichwa, spurs tutamkamata tu huko January, akipata injury (key players) atapoteana !!
#GGMU
Ole akiwa serious hatupotez points kizembe mkuu ! Utashangaa game ya shiefild anakuja na kina Mata , James na ighalo,,,,!Mzee tatizo ni OLE na Ukuda wake. Mbona akipania inawezekana.
Au vipi tufanye Ole Out Ole Out mpaka January
Aombe asipate serious injuries Kama msimu ulioisha,,,!!! Key players waendelee kuwa safe ,,,hana depth kiviileMou anabeba ndoo
Mambo magumu Sana EPL,,,,
Timu yoyote ile inakuadhibu muda na wakati usiotegemea
Hesabu zinagoma !!
Chelsea wamelambwa Tena ,,,,!!!
Hopefully klopp atadrop points kesho,,,
Mdogo mdogo tutalewana tu ,,,,
Gemu ya liva na spurs draw itakuwa fair results for us, ikibidi liva wakatwe kichwa, spurs tutamkamata tu huko January, akipata injury (key players) atapoteana !!
#GGMU
Halina ubishi hiloMou anabeba ndoo
Labda abebe ndoo ya Maji.Mou anabeba ndoo
Huu ndio uchawi, shinda game zako mapema usisubiri Tottenham akubebe kama mwaka jana kwa Leister.Mambo magumu Sana EPL,,,,
Timu yoyote ile inakuadhibu muda na wakati usiotegemea
Hesabu zinagoma !!
Chelsea wamelambwa Tena ,,,,!!!
Hopefully klopp atadrop points kesho,,,
Mdogo mdogo tutalewana tu ,,,,
Gemu ya liva na spurs draw itakuwa fair results for us, ikibidi liva wakatwe kichwa, spurs tutamkamata tu huko January, akipata injury (key players) atapoteana !!
#GGMU
Ya Chelsea usiyaseme kws sauti utaamsha watoto.This is EPL,,,,
Pep katoka 1-1 huko !!!!!
PUNDA kama PUNDA
Hizi takataka mbn sijaziona humu?Huyo mtu mwenye akili timamu atamzungumzia Magwaya si ndio...acha bangi
Halafu bangi imekhalalishwa wewe, unaniambiaje niache...?View attachment 1647766
Zimepigwa huko kwao zinalialia sahvHizi takataka mbn sijaziona humu?
Ataongeza depth squad january kama akifika christmas kileleni mjanja sana yule....Aombe asipate serious injuries Kama msimu ulioisha,,,!!! Key players waendelee kuwa safe ,,,hana depth kiviile