Hodi hodi...
Naona hamuitikii, anyway ndiyo ukubwa huo...
POLENI SANA SANA...
Ila James Ward-Prowse anachomfanyia De Gea siyo haki kabisa, ntaongea na wanasheria kama yawezekana Bw. Prowse ashtakiwe ICC!
Acha kabisa...
Haya endeleeni kupata makonzi ya nguvu na nundu za kutosha vichwani...