Huyu atakuja kupotea kama Jack Wilshere.. (Spana mkononi)
Ok Alex Telles yupo
Duh★Ona hapa Bwana Fred Maestro alivyo cover uwanja karibu wote yupo kama Referee vile★View attachment 1624343
Acha kumvunjjia heshima modricKwmb Modric anayeanzia benchi cku hz ndo amuweke benchi Bruno, ss Thomas Muller anacheza namba ngp cz huwa namuona akifunga tu ball control zero, talking of de bruyne huyo atacheza na Bruno pia atacheza hakuna shida.
Acha kumvunjjia heshima modric[/QUOTE bali]Huyo anayepambanishwa naye pia usimvunjie heshima usidhani ni Laccazette yule
Yaani bruno umfananishe na Luka Modric! Wewe jamaa weweHuyo anayeoambanishwa naye pia usimvunjie heshima usidhani ni Laccazette yule
Maajabu gn ya aliyofanya Luca asishindanishwe na Bruno fundi au ballon dor aliyopokonywa cr7 akapewa yeye ili tunzo isiende italy?Yaani bruno umfananishe na Luka Modric! Wewe jamaa wewe
Bruno hana tofauti sana na kijana mmoja anaitwa Frank DomayoYaani bruno umfananishe na Luka Modric! Wewe jamaa wewe
NimeshakudharauMaajabu gn ya aliyofanya Luca asishindanishwe na Bruno fundi au ballon dor aliyopokonywa cr7 akapewa yeye ili tunzo isiende italy?
Una masihara wewe, bruno mfananishe na kina Toddy Cańtwel au Emmiliano Bueńdia huko na bado anaachwa kwa mbali,Maajabu gn ya aliyofanya Luca asishindanishwe na Bruno fundi au ballon dor aliyopokonywa cr7 akapewa yeye ili tunzo isiende italy?
The problem with you ni kwamba unaenda personal zaidi, ww toa hoja kwmb ni maajabu gn aliyofanya luka mpk uogope kumlinganisha na Bruno, kwa mfano mm naweza kuambia kwa ss bado ni matusi kumlinganisha Bruno na Iniesta, au Bruno na dinho hapo dunia itanielewa, ss ww niambie ni maajabu gn kafanya Luka mpk uogope kumlinganisha na Bruno, toa hoja personal attacks hazitokusaidia.Nimeshakudharau
Kumbe mmejificha kwenye kivuli cha comedy, ckuwa najuaUna masihara wewe, bruno mfananishe na kina Toddy Cańtwel au Emmiliano Bueńdia huko na bado anaachwa kwa mbali,
★Ona hii mbuzi inanikerainajikuta inaijua hii timu wakati halikuwa hata na Dreamyakuwa O.T fara hili★
manutd |View attachment 1623659
★Ona hii mbuzi inanikerainajikuta inaijua hii timu wakati halikuwa hata na Dreamyakuwa O.T fara hili★
manutd |View attachment 1623659
Muheshimu sana Maguire maana kwa pancha za Bailly hii inamaana kwamba Maguire ndio beki ya kati bora kuliko zote pale Old Trafford
Hivi wewe unamjua Modric vzr acha kumfananisha na hao kanyaboya)The problem with you ni kwamba unaenda personal zaidi, ww toa hoja kwmb ni maajabu gn aliyofanya luka mpk uogope kumlinganisha na Bruno, kwa mfano mm naweza kuambia kwa ss bado ni matusi kumlinganisha Bruno na Iniesta, au Bruno na dinho hapo dunia itanielewa, ss ww niambie ni maajabu gn kafanya Luka mpk uogope kumlinganisha na Bruno, toa hoja personal attacks hazitokusaidia.
Unazungumzia mafanikio au uwezo binafsi? Kwa mataji anamzidi mpk dinho, hata Iniesta pia anaweza mzidi ila vp hao watu anawakaribia kwa uwezo?Hivi wewe unamjua Modric vzr acha kumfananisha na hao kanyaboya) View attachment 1624473
Alafu ckia nikwambie usibadili mada tafadhali, issue ni kwamba je Bruno wa ss na Modric wa ss nani mkali na co kwmb simuheshimu Modric, unaanza kuweka tunzo alizopata, hizo zinategemea na alipokuwepo tm ilikuwa nzuri, ningemuona noma sana angeanza kuzichukua hzo tunzo tangu yupo England, btw ni mchezaji bora but Bruno ni bora zaidi yake kwa ss it's a matter of time na timu pia km itambeba Bruno.Hivi wewe unamjua Modric vzr acha kumfananisha na hao kanyaboya) View attachment 1624473