Hehehe, kawaida ya Man U kuanza ligi slow au mmesahau misimu mitatu iliyopita? Haya Kazi kwenu mapundits wa JF maana najua mtaanza kutuwrite off muda si mrefu.
Lazima tukubali ukweli, kikosi chetu mwaka huu, hasa viungo na strikers ni mbovu sana.
Kuhusu Penati, wala simlaumu Carrick. kapiga vizuri tu ila kipa kaifuata vizuri.
Lazima tukubali ukweli, kikosi chetu mwaka huu, hasa viungo na strikers ni mbovu sana.
Kuhusu Penati, wala simlaumu Carrick. kapiga vizuri tu ila kipa kaifuata vizuri.
Lazima tukubali ukweli, kikosi chetu mwaka huu, hasa viungo na strikers ni mbovu sana.
Kuhusu Penati, wala simlaumu Carrick. kapiga vizuri tu ila kipa kaifuata vizuri.
haa ha ha mkuu maybe Valencia anaweza kuleta mabadiliko kipindi hiki cha pili. Pia ninaona tuna tatizo la penalt kicker, ningemshauri SAF amfundishe Anderson.
haa ha ha mkuu maybe Valencia anaweza kuleta mabadiliko kipindi hiki cha pili. Pia ninaona tuna tatizo la penalt kicker, ningemshauri SAF amfundishe Anderson.