Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeambiwa Mfarisayo ame-log off ... .... ... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Picha zote hizo zilizowekwa toka mwanzo wa mechi hujaona hata moja?

Asante sana mdau, napenda kujibu swali lako la nyongeza kama ifuatavyo;
mwanzo niliziona ila kwa sasa nilikua namuomba Wacha1 arushe za sasa dakika za majeruhi.
Asante sana muheshimiwa mfarisayo
 
Last edited by a moderator:


Noisy neighbours: City go wild as they celebrate Milner's strike







Stunner: Aguero celebrates his goal
 



Mancini akimtolea uvivu Webb . ... ...






De gea ...








 
Mpiraaaa umekwishaaaaaa!

Kwa matokeo haya man u anabaki na point zake 77 akiwa amebakiza mechi 7 wakati man city ameongeza point 3 na kufikisha point 65 akiwa na mechi 7 mbele. Hii inanipa raha kwa kufanya ligi kuu izidi kua na ushindani zaidi ikiwa ni pamoja na kumzuia sir Alex kujitangazia ubingwa mapema.

Changamoto kwa man u ni kwamba wakizidi kubanwa zaidi mechi 7 zilizobaki kuna uwezekano wa kupokonywa tonge mdomoni
 




Mashoga .... .... baada ya kula mkong'oto






Aguero akifanya vitu vyake ... ....






Thats the goal .. ....


Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Red Devils wamekua White Saints siku hizi ni vichapo mfululizo, poleni watani....:shut-mouth:
 
Poleni sana majirani that is aguero bana.. wapi mfarisayo BelindaJacob Nzi mtotowamjini Mc Tilly Chizenga

...Kichapo tu!




Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…