Tunawataka July 18, beki wenyew ndio wale kina Rudiger, Alonso??
Washambuliaji wako ndio wale kina Abraham, mnamtafuta ubaya Bruno na GreenWood nyie sio bure
Kipa mwenyew ndio yule Kepa??? Msimu huu kwenye mashuti 78 yaliyolenga goli karuhusu goli 35, sasa Bruno + GreenWood uwa wana shoot masaaa yote sijui nin kitawapata nyie chelshit