Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Jun 19, 2020 #129,121
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Jun 19, 2020 #129,122 Penison said: Kuna nini kinaendelea humu Click to expand... Humu tunapepea mgonjwa, anatapika wakati siku nzima hajala.
Penison said: Kuna nini kinaendelea humu Click to expand... Humu tunapepea mgonjwa, anatapika wakati siku nzima hajala.
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 19, 2020 #129,123 Du kipa wa spurs yupo kwenye ubora wake
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Jun 19, 2020 #129,124 Team aipo vizuri kabisa kuna kazi ya ziada sana hadi team iwe vizuri anaitajika mshambuliaji mwenye uchu wa magoli na winga mwenye kasi
Team aipo vizuri kabisa kuna kazi ya ziada sana hadi team iwe vizuri anaitajika mshambuliaji mwenye uchu wa magoli na winga mwenye kasi
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Jun 19, 2020 #129,125 Ole na Martial wake sijui wana kitu gani aise
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 19, 2020 #129,126 Penatiiiiiii
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 19, 2020 #129,127 Afu ukute tunakosa
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 19, 2020 #129,128 Gooooooo
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 19, 2020 #129,129 Bruuuuunooooo
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Jun 19, 2020 #129,130 Penalty ya kubebwa kabisa Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Jun 19, 2020 #129,131 Goo Bruno Fernández asante Pogba
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Jun 19, 2020 #129,132 Penison said: Mkuu ARV tunaomba msimamo wa ligi Click to expand... Hutomwona hapa ameshaswitch tayari, Mzeebaba yupo kila uzi kule chelsea yupo,kule Gunnerz tulishamsanua,kule Liver yupo.....kila timu yake
Penison said: Mkuu ARV tunaomba msimamo wa ligi Click to expand... Hutomwona hapa ameshaswitch tayari, Mzeebaba yupo kila uzi kule chelsea yupo,kule Gunnerz tulishamsanua,kule Liver yupo.....kila timu yake
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Jun 19, 2020 #129,133 Mentor said: Penalty ya kubebwa kabisa Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app Click to expand... Weeeeeeeeee hukuona hiyo push
Mentor said: Penalty ya kubebwa kabisa Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app Click to expand... Weeeeeeeeee hukuona hiyo push
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Jun 19, 2020 #129,134 Mbeleko
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Jun 20, 2020 #129,135 Rutashubanyuma said: Weeeeeeeeee hukuona hiyo push Click to expand... Tuachane nalo tu Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
Rutashubanyuma said: Weeeeeeeeee hukuona hiyo push Click to expand... Tuachane nalo tu Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,192 Reaction score 29,749 Jun 20, 2020 #129,136 Utashangaa man anashinda et
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Jun 20, 2020 #129,137 DullyJr said: Mbeleko Click to expand... Kama ya Man City walivyo bebwa juzi
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Jun 20, 2020 #129,138 Dah
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,993 Reaction score 11,871 Jun 20, 2020 #129,139 Konaball said: Kama ya Man City walivyo bebwa juzi Click to expand... Hii yenu ipo more advance
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Jun 20, 2020 #129,140 DullyJr said: Hii yenu ipo more advance Click to expand... Ahhh karibu tena tukutane Jumamosi no short single target
DullyJr said: Hii yenu ipo more advance Click to expand... Ahhh karibu tena tukutane Jumamosi no short single target