mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
Umeona tofauti ya Perreira na Mata mkuu?Hivi Perrera anamuwekaje bench Mata?
Leo tunacheza vizur mbona, tunatengeneza nafasi na tukiwa hatuna mpira tunakaba vizur
Sioni tuki force japo naona match ni nyepesi.Leo tunacheza vizur mbona, tunatengeneza nafasi na tukiwa hatuna mpira tunakaba vizur
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweleze huyo, Mata anakabia macho, timu ikishambuliwa inakua kama tupo pungufuUmeona tofauti ya Perreira na Mata mkuu?
Mata anakabia macho Perreira nguvu ina mfavor.
Tuwe na msimamoOle sijamwelewa kumpeleka Rashford pembeni na Martial kati. Kwa mawazo yangu Rashford angekuwa kati na Martial ni mzuri sana ikitokea pembeni.
Mata is useless and dead..Mweleze huyo, Mata anakabia macho, timu ikishambuliwa inakua kama tupo pungufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tunacheza vizur mbona, tunatengeneza nafasi na tukiwa hatuna mpira tunakaba vizur
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio utagundua sasa kila mtu anautazama mpira kwa macho yake. Binafsi naona timu imecheza vizuri sana kipindi cha kwanza,sikutegemea kabisa. Ni kama vile wachezaji wameanza kuelewana. Fred anazidi kunifurahisha siku hadi siku. |
Hivi amesema hivyo yeye mwenyewe ole au ni rumors?
Na ndio kinacho mbeba Lingard. Huyu dogo hutimiza majukumu yote anayoelekezwa na makocha.Mweleze huyo, Mata anakabia macho, timu ikishambuliwa inakua kama tupo pungufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Martial mzuri kuliko Rashford akiwa kati sababu martial katulia hana papara rash bana anapapara sana golini.Ole sijamwelewa kumpeleka Rashford pembeni na Martial kati. Kwa mawazo yangu Rashford angekuwa kati na Martial ni mzuri sana ikitokea pembeni.
Game sio nyepesi, tume draw + loose sana kuchukulia game easy kwa hawa called small teams, game approach ya OGS nzuri sana, as tupo away we respect burnley, we play displine football, important things only 3points
Tuwe na msimamo
Rashford amecheza hiyo nafasi kipindi martial kaumia na ilikuwa ni upuuzi mtupu
Martial anacheza vizuri kwenye hiyo nafasi kushinda Rashford
Rashford atokee pembeni