Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Piga Chelsea
Piga Leicester
Piga Spurs
Piga Man City
But linapokuja suala la Underdogs unaweza kusema hii ni Mtibwa Sugar sio Manchester.
Ole kaijengea Man United 'Small Team Mentality' that is Kukamia mechi kubwa na kupoteza Kuwa wadogo.
Tutafika tu wana GGM, Natamani nipate mtu aliyekuwepo miaka ya 1986-1992 wakati Ferguson anapitia kipindi kigumu kama cha sasa, atupe uzoefu wa kuyavumilia haya ya sasa, maana mashabiki wengi hawana uzoefu na hiki tunachokipitia. Mind you, tuliwahi kupitia hali hii miaka hiyo but muda ulikuja tukafaidi matunda ya uvumilivu wetu kwa kipindi cha miaka 26. So timu inajengwa tena kuja kutawala tena kwa miaka mingi. GGM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo hichi kipindi najua ukuwepo umeadisiwa ..tuulize sisi kaka zakoTutafika tu wana GGM, Natamani nipate mtu aliyekuwepo miaka ya 1986-1992 wakati Ferguson anapitia kipindi kigumu kama cha sasa, atupe uzoefu wa kuyavumilia haya ya sasa, maana mashabiki wengi hawana uzoefu na hiki tunachokipitia. Mind you, tuliwahi kupitia hali hii miaka hiyo but muda ulikuja tukafaidi matunda ya uvumilivu wetu kwa kipindi cha miaka 26. So timu inajengwa tena kuja kutawala tena kwa miaka mingi. GGM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulipofungwa na Madrid UEFA mliongea hivihivi ,Tulipoukosa ubingwa last season mlisema haya maneno unayoyasema wewe leo Liverpool hatutaruda nyuma tena timu imeshakaa kwenye Elite Brother.Heshima kwako muzee. Kutawala kwa miaka mingi kama zamani kwa sasa haitawezekana. Mpira umebadilika sana ushindani umekuwa mkubwa sana kila timu inajitahidi kusajili wachezaji wa viwango vya juu.
Hao liverpool wenyewe karata yao ipo msimu huu. Msimu ujao hawatakuwa na hati miliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo rashford na lingard takataka amna kitu apo ...zinakamia timu kubwa tu kama hazina akili ..uza nunua straika kaliba ya Tammy na wings zenye njaa kama pulisic enjoy mpira mzuri na magoli...Yaani Rashford na Lingard wamekosa magoli ya wazi, dogo kapata assist from James, nilifikiri atatoa pasi bcoz alikua kazibwa sana, cha kushangaza katia kamba ivyo ivyo, japo nimefadhaika na results ila nina furaha leo ni siku mbaya kwa foward line zetu rashford, martial n lingard, dogo Greenwood kawadhalilisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga Chelsea
Piga Leicester
Piga Spurs
Piga Man City
But linapokuja suala la Underdogs unaweza kusema hii ni Mtibwa Sugar sio Manchester.
Ole kaijengea Man United 'Small Team Mentality' that is Kukamia mechi kubwa na kupoteza Kuwa wadogo.
Nakubaliana na wewe mkuu but utawala naozungumzia siyo ule wa kuchukua makombe back to back tu ni pamoja nakurejeshesha ile heshima ya kuwa title contenders wenye hatari katika mashindano yote, kitu ambacho kwasasa tumekipoteza, thus why hata top 4 sasa inakuwa ni mtihani kwetu wakati kipindi hicho ukikosa kombe top 4 ilikuwa given wala haikuwa ikitufikirisha.Heshima kwako muzee. Kutawala kwa miaka mingi kama zamani kwa sasa haitawezekana. Mpira umebadilika sana ushindani umekuwa mkubwa sana kila timu inajitahidi kusajili wachezaji wa viwango vya juu.
Hao liverpool wenyewe karata yao ipo msimu huu. Msimu ujao hawatakuwa na hati miliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mkubwa, ni kweli nilikuwa bado mchanga sana ndiyo maana nikasema hapo mwanzo wa Sentence kuwa natamani tupate shabiki wa United aliyekuwapo wakati huo akifatilia ligi hiyo, atupe uzoefu namna gani waliweza vumilia hali hiyo mpaka kikafikia kipindi cha mafanikio, maana mashabiki wa leo naona uvumilivu kwao inakuwa ngumu.Dogo hichi kipindi najua ukuwepo umeadisiwa ..tuulize sisi kaka zako
Enewei hii Man United choka mbaya huwezi fananisha na ya 92 uko ..
Mimi King Of London & England siwezi kufungwa na Everton alafu ninyi vijakazi wa hapo Manchester ushinde
Timu yeyote iliyomfunga Chelsea lazima itawatoboa tu..
Kila la kheri Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo hichi kipindi najua ukuwepo umeadisiwa ..tuulize sisi kaka zako
Enewei hii Man United choka mbaya huwezi fananisha na ya 92 uko ..
Mimi King Of London & England siwezi kufungwa na Everton alafu ninyi vijakazi wa hapo Manchester ushinde
Timu yeyote iliyomfunga Chelsea lazima itawatoboa tu..
Kila la kheri Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia ndivyo inavyoonesha, lakini kwa ulimwengu wa sasa sioni kama kuna kitu kinashindikana, tena namini wakiwa wote juu kwa wakati mmoja ule upinzani wao ndiyo utaleta maana zaidi.Liverpool na Utd hazijawahi kuwa juu kwa wakati mmoja...... take that!
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial is not good enoughYaani Rashford na Lingard wamekosa magoli ya wazi, dogo kapata assist from James, nilifikiri atatoa pasi bcoz alikua kazibwa sana, cha kushangaza katia kamba ivyo ivyo, japo nimefadhaika na results ila nina furaha leo ni siku mbaya kwa foward line zetu rashford, martial n lingard, dogo Greenwood kawadhalilisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app