Ingekuwa..ingekuwa za nini tena? Kama ile own goal wangekuwa wamepewa Man U katika incidence kama ile,mngesema ni offside bila hata aibu hapa..keep ur mouths shut hombres.
Wakuu vipi sikukuu inaendeleaje .. .... .... ... kuna tetesi ati hawa ndio marefa wa Uingereza .... ..... vipi kuna mtu kamwona mhezaji huyu mpya amesajiliwa kwa mara ya pili .... .....
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
Nasikia Bahasha haikufika mapema kwa refa wa leo
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kufungwa na hizo timu haina maana kuwa ndo wapinzani wetu kwa hatuna tunachogombania nao. Man Utd inagombania ubingwa wakati hizo timu including u mnagombania top four position na si ubingwa
Ingekuwa..ingekuwa za nini tena? Kama ile own goal wangekuwa wamepewa Man U katika incidence kama ile,mngesema ni offside bila hata aibu hapa..keep ur mouths shut hombres.