Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imenibidi nishangae kwamba shabiki wa Manchester anasema kiungo cha Liver ni takataka
asee, Fred, Perreira na Lingard wanampa kiburi.
 
Mpaka sasa katika michezo 8 umeshinda miwili tu. Halafu unasema katika 29 eti utashinda 10. serious?
 
McTominay on Jose Mourinho

“Jose is very special to me. He still keeps in contact with me now and keeps in touch after some games.

“He'll always have a special place in mine and my family's heart because he's the one who brought you in, he was the one who trusted you, he was the one who had belief in you.

“I owe a tremendous amount of credit to him because if it wasn't for him I might not necessarily be sitting in this seat.”

Tusubir Mason Greenwood, Chong on Ole.
 
Wengine wanasajili kina Mbappe, United wanasajili Veterans.
 
Mpaka sasa katika michezo 8 umeshinda miwili tu. Halafu unasema katika 29 eti utashinda 10. serious?
Ngoja tufanye hesabu rahisi tu kutokana na unavyoona ushindi wa mechi 2 ktk 8 kma ni BIG DEAL sana.

30÷8x2= 7.5
30÷8x3= 11.25

Ktk kila michezo 8 kwenye michezo 30 Manchester United akishinda miwili basi mwisho wa msimu atakua kashinda 8

Ktk kila michezo 8 kwenye michezo 30 akitoa draw 3 basi mwisho wa msimu atadroo mechi 11, vivyo hivyo na kufungwa

8x3 = 24 (Win)
11x1 = 11 (Draw)
11x0 = 0 (Lose)
24+11+9= 44 (Total Point)

48-44 = 4 haya umefurahi sasa
bro kushuka daraja sio kazi rahisi kama ilivyo kuchukua EPL. Hizi ni hesabu rahisi tu kama ulivyotaka kama tuna uwezo wa kushinda mechi 2 ktk mechi 8 na kudroo mechi 3 ktk 8 basi kushuka daraja haiwezekan broo

Halaf hapo bado mpira unadunda ukumbuke, lolote linaweza tokea sisi sio wabovu kiasi hicho


Were you serious?
 
Origi hata Leeds hana namba mkuu, huyo ni kariba ya Obaten
 
Imenibidi nishangae kwamba shabiki wa Manchester anasema kiungo cha Liver ni takataka
asee, Fred, Perreira na Lingard wanampa kiburi.
Unajua ww unaendekeza ushabiki sana liverpool ipo vizur mbele ujue salah,mane na firmino wanafanya kazi nzur sana?

Unajua kuwa assist nyingi zinatengenezwa na bek zenu wa pembeni sio viungo wenu?
 
Hapa sasa ndo utajua liverpool hamasa ya kocha ipo vizur fikiria hizo jamaa zenu zipo liverpool na wewe mwenyewe unajua ni wabovu umewataja sema wanajitahada kwetu yamezembea na hamasa hamna
 
Unajua ww unaendekeza ushabiki sana liverpool ipo vizur mbele ujue salah,mane na firmino wanafanya kazi nzur sana?

Unajua kuwa assist nyingi zinatengenezwa na bek zenu wa pembeni sio viungo wenu?
Sijakataa. Ndo kusema nyie mna middle nzuri kuliko Liverpool? Haya leta stats hapa.
 
Mkuu, uelewa, uelewa. Soma kwa makini alichoandika uliyem-quote. Kaandika

La 4 hilo 11 to go.
Sawa mze baba ..lakini rashid afikishi goli 15 ...kama ana funga goli moja kwa mwezi


Akifikisha mimi nitakuwa wa kwanza kunipiga BAN kwenye hili jukwaa...
 
De Gea..... Hahahahahahahahah kwisha habari yenu.......Kwishnei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…