Ndio maana anawapa mikataba wachezaji wa hovyo.Ole aliposema hana nia ya kupigania ubingwa nilimuona kiazi kweli hii ilikuwa justification kwa Woodward kumsajili average squad.
Kufundisha timu kubwa kama Manchester halafu ukawa na projection za timu ndogo kama Burnley kupungukiwa akili.
Subiri tushuke daraja kwanza ili wamiliki wauze timu, management itolewe, kocha afukuzwe na wachezaji waoneshwe mlango wa kutokea.Mtu pekee anayeweza kuikoa Man United hapo ilipo ni Klopp, Guardiola na Mourinho.
Still ninaamini Man United kumfukuza Mourinho ni katika Makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya kwenye karne hii ya 21
Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe mudaEmbu tuwe serious jamani
Kwenye eneo la kiungo ameondoka Fellaini,Herrera,Mata amechoka,Matic ameonyesha kuchoka toka msimu uliopita ulivyokuwa unamalizika,Fred tia maji..na kocha hafanyi replacement yoyote na anategemea atapigana vizuri tu kwenye EPL..hesabu gani hizi??
Lukaku ameuzwa,okay fine leta mashine nyingine kali itakayomzidi..kocha anampa majukumu Martial na Rashford..Wtf is this??..
Na mbona tukitanguliwa hatuonyeshi utofauti wowote na tulivyoanza mechi??..hakuna hata comeback yoyote ya maana ambayo tumeifanya tangu awe kocha wetu,,hii inaonyesha uwezo mdogo tactically wa huyu bwana..
United ilikuwa inapaswa kusukwa upya,lakini ni lazima kocha anayepewa hilo jukumu awe na uwezo wa juu kabisa,na si huyu bwana aliyeishusha Cardiff daraja..
Hii timu inanipa sana hasira..
Liva atapigwa 3 bila na huta amini.Man u tarehe 20,mkipigwa na liverpool mkashuka kule bondeni chin, aisee mtahitaji nguvu kubwa sana kutoka hukoo,
Sijui ole ana mbinu gani za kuipiga liverpool ya sasa, inayowasha moto kila konaa
Swala la kupewa muda ni sahihi kabisa, mashaka yangu ni OGS ni mtu sahihi wa kuisuka hii timu iweze kirudi Glory days?Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe muda
Inadaiwa wachezaji wameshapoteza imani na Ole na hawamsikilizi tena.
Ed pia inasemekana amekerwa na comment De Gea kuhusu timu.
Liva atapigwa 3 bila na huta amini.
OGS naona kama hajitambui, alivyopewa timu tu akamuongezea mkataba Smalling na Lingard, alafu Smalling kamtoa kwa mkopo, sasa kama aliona uwezo wa smalling ni mdogo kwann alimuongezea mkataba?Subiri tushuke daraja kwanza ili wamiliki wauze timu, management itolewe, kocha afukuzwe na wachezaji waoneshwe mlango wa kutokea.
Kubadili kocha kwa sasa itatupa short term orgasm ataturudisha nafasi za kushindania Europa.
Msimu utakaofuatia atanyimwa hela kama Mou alivyokataliwa kupewa winger na beki hadi akafukuzwa.
Wacha tushuke daraja kwanza, italeta attention kwa wamiliki.
Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe muda
Klopp hawezi kuokoa jahazi lililopo. Hizo kazi waachie Mou, El Chollo, Ancelloti na Hiddink. Klopp atahitaji apewe muda na wkt timu inazidi kupotea.Mtu pekee anayeweza kuikoa Man United hapo ilipo ni Klopp, Guardiola na Mourinho.
Still ninaamini Man United kumfukuza Mourinho ni katika Makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya kwenye karne hii ya 21
Klopp habari nyingine acha utaniKlopp hawezi kuokoa jahazi lililopo. Hizo kazi waachie Mou, El Chollo, Ancelloti na Hiddink. Klopp atahitaji apewe muda na wkt timu inazidi kupotea.
Spurs na United ni vitu viwili tofauti kabisa..ndani ya hiyo miaka saba ya spurs hata ukiangalia spending zao ni tofauti kabisa na United na hata expectation za mashabiki wa spurs na United ni tofauti kabisa..Spurs wanafanya vibaya sana na wao recently,je umeona kuna pressure kubwa kama iliyopo United??Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe muda
uongozi wa manchester united kwa kushirikiana na mashabiki wengi wetu kwa kiasi kikubwa tunamhukumu mwalimu kwa kuangalia zaidi matokeo aliyoyapata.Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe muda
Akili za kuuliza "hizi akili" tunatoa wapi unazitoa wapi?hivi hizi akili huwa mnazitoa wapi?
Huyo ed ndio kirusi sasa
Kuna tatizo pale United ambalo muda mwingi nimekuwa silielewi kabisa. Kama unakumbuka kipindi cha Mou, ule msimu wa Zlatan, timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga. Walikuwa wanafika hadi kwenye box na kutengeneza nafasi za wazi kabisa ila kwa wafungaji kulikuwa na uzembe wa kumalizia. Kipindi hicho tatizo kidogo lilikuwa upande wa mabeki. Kwa mazingira haya inamaanisha kiungo kilikuwa safi. Ghafla leo tupo na Ole timu imekufa kabisa,kiungo sifuri,mbele kule ndio usiongee. Tumebaki na mabeki pekee. Shida ni nini? Ni kile alichosema Neville kwamba timu inafanya maamuzi ya kukurupuka? |
Ka retweet , tweet ya 433Cedric Bakambu ndiyo katweet hivi ?
Matatizo ni makubwa sana.OGS naona kama hajitambui, alivyopewa timu tu akamuongezea mkataba Smalling na Lingard, alafu Smalling kamtoa kwa mkopo, sasa kama aliona uwezo wa smalling ni mdogo kwann alimuongezea mkataba?
Kiufupi timu yetu ina matatizo mengi sana na kadri siku zinavyosonga yanazidi kuongezeka, kuanzia kwa kina Ed Wood kule juu, manager mpaka wachezaji, tuna michezaji mingi tumeisajiri haina hadhi ya kuichezea Man Utd