Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiungo ya Chelsea itakuja kuwa bora sana Siku za mbeleni. Tena ndan ya msimu huu huu..
 
Ukweli ni huu kwa top 6 Liverpool hawana midfield nzuri , ndio maana magoli yao yanatengenezwa sana na fullback , wana backline nzuri wana trio nzuri ila hawana midfield nzuri . Huo ndio ukweli unatakiwa usemwe na hata kopities wanakiri hilo .

Chelsea walikuwa bora sana au wana midfield nzuri kuliko ya Liverpool.

Angalia hapo jinsi midfield za Liverpool zinavyojificha na kumuacha Fabinho pekee katikati apambane na Kante ,covacic & gorginho.
 
Kipi kinakufanya uamini??

Tokea 2017 mpaka leo tunasema hivyohivyo..
Amecheza vyema sana akiwa na timu yake ya taifa,pengine anaweza badilika akipewa nafasi. Jamaa kwanza amekuwa hapewi nafasi ya kutosha kwenye timu.
 
Ndio unataka kusema nini
Hahahaha kiungo Matic mzee, Pogba Tuma maji leo Yuko vzuri kesho anazingua, kwa Beki man u mko vizuri sana ila magwaya sio mpambanaji(sio wa kuaminiwa) ila mbele ndo kabisa hauna kitu ..Rashid akifikisha goli 15 msimu huu SITAINGIA KWENYE HUU UZI MPAKA MSIMU UNAISHA. lingard ndo kabisa ..ata Tammy akitulia vizuri anaeza kuja mkimbiza ..uyo masho hana tofauti na pogba, wote Tuma maji tu ..

Kiufupi hii man u mutakimbiza kama gemu tisa/kumi hiv baada ya hapo munajua nini kitatokea..
 
Tatizo lako IQ yako ndogo Sana tena Sana...
 
Defence ilikuwa nzuri lakini kiungo ilifuja sana kwa sababu 65% ya mchezo Chelsea walitu outperform
McTominay ni CM na Pogba ni CAM sidhani kama ulitegemea maajabu hapo

Barkley CAM, Jorginho CDM Kovacic CM kilichotokea hata mimi nilitegemea.
 
Hawa maskaut wapo sahihi kabisa ila mashabik huwa mna mihemko sana , huyo Bruno mashabik wengi mmemuona game hazizid 5, maskaut wamemfatilia msimu mzima.
sasa kama maskaut washaona hivyo maana yake sokoni hakuna viungo wengine? halafu unaambiwa United ndo timu yenye scouts wengi dunia unfortunately wote walienda Portugal kumuangalia Bruno.
 
Ila yule magwaya na wasiwasi nae sana , labda bissaka nimeona anacheza vzr sana, magwaya mmh naweka akiba ya maneno
 
Eleza kwa statistics ueleweke mambo ya labda labda yashapitwa na wakati
Namzungumizia nilivyomuona ktk ile mechi ,hizi statistics zitawaponzen, maana kwa statistics mustafi anakimbizanaga na kina vvd lkn ndio beki mbovu na aliyetemwa pale arsenal msimu huu, sasa ww kimbilia statistics wakati wahafidhina tunaangalia movement n.k ,Maguire ni mzito ,hiyo weakness yake ndio inanipa wasiwasi , subir baada ya mech 5 tu , nitakupa tathmin fupi.
 
Tatizo unaongea kwa Unazi..ss rashford atafikisha alaf tutaona.
 
Tatizo lenu ndo hilo yule ni beki ambaye hana papara na mpira na wala si mzito kama mnavowaza ebu angalia beki kama smalling ni mtu mwenye mipapara ya mpira ndo naamini unaona mwepesi sio
 
Quality ya Kante na Joginho ni kubwa sana pale EPL. Ukiwaongeza Kovacic, Barkley na huyu dogo Mount inaonekana wako bora sana katikati
Wana midfield nzuri kweli kwa kuangalia mmoja mmoja

Lakini kinachowafanya ku dominate kati kati ni kucheza kama unit (kama timu)

Mfano Kante hakucheza mechi ya United tangu mwanzo, lakini mwanzoni Chelsea ilicheza vizuri kuliko alipoingia huyo Ngolo

Mfano wa pili, Jorginho ndio huyu ambaye msimu uliopita watu hawakumtaka hata bure lakini mechi mbili za msimu huu amecheza vizuri

Kiujumla, style of play ya Chelsea, ya pressing as a team ndio inasababisha matatizo kwa timu pinzani, japo hiyo style itawaumiza sana watakapokutana timu zinazopiga counter attack vizuri kama Wolves
 
Mkuu ni ngumu sana kuamini unachoongea, kiufupi upo kama kinyonga

Hata hiyo ahadi yako ya kutoingia kwenye huu Uzi Rash akifikisha goli 15 msimu huu ni ahadi ya kufurahisha genge tu. Maana mpaka sasa ana mechi zaidi ya 40 na zimebaki goli 13. Nakukumbusha pia msimu huu, atapewa penati nyingi zaidi kupiga

Juzi juzi ulisema Wan Bissaka mbovu na Harry Maquire mbovu. Leo ghafla unasema beki ya Man U ipo vizuri. Kama sio Harry na Bissaka nani wanaoifanya beki ya Man kuwa nzuri, Youngy na Rojo?

Embu tulia, kunywa maji, kisha relax. Haya sasa unaweza kuja na uchambuzi usio na bias.

Kama timu iliyokufunga 4-
unasema haina forward nzuri je yenye forward nzuri itakupiga ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…