Mkuu saa tatu kamili nitakuwa hapa kupokea pongezi za ushindi na kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa..
Kwanza nitangulize kutoa pole mapema maana mgonjwa ndo anapelekwa ICU na uwezekano kupona ni mdogo sana. Ivyo tunatarajia ifikapo saa mbili kamili uyu mgonjwa atakuwa hayupo tena duniani.
Poleni sana kwa wafiwa!!!