D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
muda umeshatuonyesha muelekeo wa hii kadhiaMuda utasema .
nimesikia taarifa ed woodward yupo mbuga za chato amechukua likizo ya wiki tatuHakuna dalili ya mchezaji mpya hadi sasa kwenye hili jamvi?
Mkuu hili chama nalikubali ila yaani sielewi ni nini tunachofanya..pengine wewe mwenzetu uliyesajiliwa huko unaielewa
kijamaa kimekuwa god father,Mkuu hili chama nalikubali ila yaani sielewi ni nini tunachofanya..
Yaani imefika kipindi hadi rashford ana guts za kuomba £350,000 kwa wiki..like serious??
muda umeshatuonyesha muelekeo wa hii kadhia
- hajapatikana technical diector kwa miezi saba tokea uanze mchakato
- usajili umeendelea kuwa wa mashaka.
- pogba amepandisha mashetani yake muda tunaomuhitaji aongoze ibada
Yaani Madrid wameshashusha majembe ya kutosha,sisi tupotupo tu na pre-season hii hapa..Huyo bruno tetesi zimekufa,saivi naona tupo kwa sean longstaff,Teilesmanskijamaa kimekuwa god father,
tetesi za bruno fernandez zimeishia wapi?
nafasi ya sita inatuhusu tena wallahi
Why??Paul Pogba: It is the right time for a new challenge
Siku akiondoka huyu jamaa, siku hiyo nitakula pilau, japo bajeti yangu ni kwa siku ya Christmas
nilijua mapema manchester united hawana target za uhakika hivyo basi wataendeleza tabia ya kubangaiza kila mchezaji kama ilivyo kawaida yao kila inapofika dirisha la usajili.Yaani Madrid wameshashusha majembe ya kutosha,sisi tupotupo tu na pre-season hii hapa..Huyo bruno tetesi zimekufa,saivi naona tupo kwa sean longstaff,Teilesmans
Hivi Rabiot si yupo free tu,kwa nini asije kutupa backup kwenye midfield??
Pogba naye anataka kusepa..damn..next season tusipokuwa makini tutapigwa na kuchakaa
akishaondoka unaletewa yule muingereza wa newcastle unitedPaul Pogba: It is the right time for a new challenge
Siku akiondoka huyu jamaa, siku hiyo nitakula pilau, japo bajeti yangu ni kwa siku ya Christmas
Hiyo ndo pointi..nilijua mapema manchester united hawana target za uhakika hivyo basi wataendeleza tabia ya kubangaiza kila mchezaji kama ilivyo kawaida yao kila inapofika dirisha la usajili.
ok wachezaji inawezekana ni ghali sana lakini mbona madrid wanasajili, hivi madrid na united wana utofauti wowote kifedha?
madrid hawajahi kumkosa mchezaji wanayemuhitaji lakini kwetu sisi ni tofauti.
bajeti yako pengine ni ndogo sasa kwa nini unagombania kumsajili wan bissaka haliyakuwa thomas mounir thamani yake ni pound million 22?
ngoja tumwite mdogo wake woodward atusaidieHiyo ndo pointi..
Mbona timu nyingine target zao wanazipata??..hilo ndo swali
Longstaff, sidhani kama OGS amechoka kuifundisha United kiasi hicho, after all yule dogo ni defensive, na Pogba ni creativeakishaondoka unaletewa yule muingereza wa newcastle united
Ed Wood anafanya kazi yake vizuri sana mkuu....ngoja tumwite mdogo wake woodward atusaidie
Mc cane
Nimejibu hapo chini mkuuWhy??
hivi leo ni tarehe ngapi?Ed Wood anafanya kazi yake vizuri sana mkuu....
Kwenye biashara lakini
Ndio maana maboss wake wanamng'ang'ania
Na jamaa amegoma kuleta DoF, eti kwa sasa OGS, Phelan na Recruitment Department wanatosha
tuombe wiki hii tupate mchezaji mmoja muhimu, dirisha linafungwa kabla ya ligi haijaanzaBado wiki mbili pre season ianze
Pia kauli zake zinatosha kuwa sababuWhy??