Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
NIWEKEE NAFASI LIVERPOOLTransfer news and rumours LIVE: "Man Utd consider move for Dier as Matic replacement"
Huu sasa utani
Hivi ole kapunguziwa bajeti ya usajili au kuna nini kinaendelea? Anaunga sana mithili ya arsenal.Transfer news and rumours LIVE: "Man Utd consider move for Dier as Matic replacement"
Huu sasa utani
Kuna tetesi zinadai kuwa Rabiot tayari muda wa kuvunja mkataba ndiyo unaosubiriwa au ni yale yale ya tetesi tetesi tu ?NIWEKEE NAFASI LIVERPOOL
Hivi ole kapunguziwa bajeti ya usajili au kuna nini kinaendelea? Anaunga sana mithili ya arsenal.
Kuna tetesi zinadai kuwa Rabiot tayari muda wa kuvunja mkataba ndiyo unaosubiriwa au ni yale yale ya tetesi tetesi tu ?
Atleast ni replacement nzuri ya HereraRabiot sio upgrade ya Mata wala Pogba! Ndiyo walewale
Atleast ni replacement nzuri ya Herera
Kwa hiyo mkuu sisi ni wavuja jasho wa pale stand mwanza... Poa bhana ukame fc nyieHahahahahahahahahhahahahahahahahah Na bado mtakereka zaidi ya hapa wahuni wa Buzuruga nyie.
Mi ntahamia totenham.NIWEKEE NAFASI LIVERPOOL
Herera alibadilishwa role km Valencia, lakini kwa asili ni namba naneSio replacement ya Herrera!
Rabiot ni Central Attacking Midfielder ambayo anacheza more offensive with lack defensive minded, while Herrera ni natural Defensive Midfielder.
Hata City we nenda tu.. sisi roho ngumu ngoja tushiriki Uropa hadi viatu vichanikeMi ntahamia totenham.
Ander alibadilishwa hakuwa defensive.Sio replacement ya Herrera!
Rabiot ni Central Attacking Midfielder ambayo anacheza more offensive with lack defensive minded, while Herrera ni natural Defensive Midfielder.
Kwa target zetu hizi (Eric Dier) hata europa itakuwa bahati kuipataHata City we nenda tu.. sisi roho ngumu ngoja tushiriki Uropa hadi viatu vichanike
Ss ni manure....tunashabikia mapato yetu mazuri na jezi tunauza sana....ss ni wanoma..Sasa hiv naamini usajili wa Wachezaji wasiona majina makubwa kuliko mijitu inakua na shombo.
Timu inamaliza ya sita Cha ajabu mitimu iliyobeba kombe hata haizungumziwi. Mwisho siku anayeongoza kwa mapato ni Man Utd.
Hawo nao badala ya kushabikia timu zao, na kununua shirt. Wanashabikia man Utd. Mibongo bwana
Naona mnatupenda sana siku hz.....Mnataka tuwasaidie kusajili...tukiwasaidia hiyo pesa yenu inatosha kbs coz naona mnaogopa kila mchezaji....mnabip mnakimbiaHivi ole kapunguziwa bajeti ya usajili au kuna nini kinaendelea? Anaunga sana mithili ya arsenal.
Tumeipata na Fellaini.. majeruhi kibao, beki smalling na young.Kwa target zetu hizi (Eric Dier) hata europa itakuwa bahati kuipata
Mouthchester united is the coming Arsenal.
Timu imeyumba tu.. kipindi tuko vzr walisema tunabebwa.Ss ni manure....tunashabikia mapato yetu mazuri na jezi tunauza sana....ss ni wanoma..