Subiri siku ya FutuhiInaeza ikafika Dakika ya tisini mechi ikawa bila bila ..lakini mpira ukaisha Barca anaongoza mbili ..hahaha
Uku kuna Messi, uku Suarez ..ukimkaba Messi Suarez akuachi ..mbaya zaidi kuna Coutihno ..uyo anaijua vizuri manure..achilia mali Rakitic ambaye akabiki ..kuna uyo Arthur ni balaa ..sisi manure sioni tutatokea wapi.
Dah! hahahahaha mpka uruma yani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa ha hhhaaaaaahili gazeti uchwara linapaswa kufungiwa lisiandike habari zinazoihusu klabu ya man utd.
- Marcus Rashford is nearing a new contract with Manchester United that will pay him £78 million ($102m) over five years. [mirror]
- Rashford has asked to United to give him Wayne Rooney's old £300k/week terms. [mirror]
Kikosi halisi huwa kinatajwa saa moja kabla ya mchezoVikosi hivyoView attachment 1067492
Timu zote za kutoka jiji la Manchester HAZITAVUKA HATUA YA ROBO FAINALI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaeza ikafika Dakika ya tisini mechi ikawa bila bila ..lakini mpira ukaisha Barca anaongoza mbili ..hahaha
Uku kuna Messi, uku Suarez ..ukimkaba Messi Suarez akuachi ..mbaya zaidi kuna Coutihno ..uyo anaijua vizuri manure..achilia mali Rakitic ambaye akabiki ..kuna uyo Arthur ni balaa ..sisi manure sioni tutatokea wapi.
Dah! hahahahaha mpka uruma yani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri rekodi inabaki hapa, messi leo (.......) sitaki kuongea mengi.. Mpira hauchwezi kwenye keyboard za androidLabda tukumbushane tu
Tumeshakutana na Cristiano Ronaldo tukampiga, tukakutana na Mbape tukamtwanga, sasa tunakutana na Messi .....
Tumeshazoea kuwashughulikia hawa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
matokeo ni 1-0Tupe kwanza matokeo ya Everton na Arsenane
Usijifanye mganga wa kienyeji wa kubashiri matokeo ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app