kwanini Pogba asipewe na Herrera apewe hebu fafanua kidogo mkuu
Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.Rahisi tu,
Pogba ni mercenary, anafanya United kama daraja la kwenda kucheza kwenye timu za ndoto zake (Madrid na Barca, ametamka wazi)
Wakati Herrera play for the badge (calibre ya akina Roy Keane)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Man u wasimsajili Harry Maguire badala ya huyo Raphael Varane ambaye Madrid watahitaji mzigo mkubwa sana ?Phil Neville: “The two signings in the back four would be Raphael Varane from Real Madrid and Joao Cancelo from Juventus. Cancelo, I worked with him at Valencia and have seen him at Juventus and I think he's top drawer." #mulive [sky sports
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Maguire Bei yake sio ya mchezo mchezo, Spurs wataka 100+ milionKwanini Man u wasimsajili Harry Maguire badala ya huyo Raphael Varane ambaye Madrid watahitaji mzigo mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah HIV man u mnataka wachezaj wa aina gani lakini,Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Maguire Bei yake sio ya mchezo mchezo, Spurs wataka 100+ milion
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah HIV man u mnataka wachezaj wa aina gani lakini,
Mimi katika viungo nawakubali ni Paul pogba ,ana skills, ana mashuti, anajua kuassist, ana nguvu
Mnataka kiungo wa namna gani tena, huyu jamaa ni kati ya viungo bora watano duniani,
Kwanza pogba ndio mchezaji ambaye anaingia MOJA kwa MOJA kwenye falsafa ya man u ,ya kuattack kwa kushtukiza , anajua kutuma ile mipira ambayo huwa Mara nyingi rashford au lukaku wanafaidika nayo.
Huyu jamaa mtafutieni watu wakueleweka kama wawili tu, Pogba ni hatari sana, muangalie game za France , juzi kampa pasi MOJA Grizeman ,ile assist ni ya kiufund sana,
Sasa pogba mtafutien watu ,walio clinical,
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Kwanini Man u wasimsajili Harry Maguire badala ya huyo Raphael Varane ambaye Madrid watahitaji mzigo mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu nambie mnataka Pogba acheze namna gani ili mjue kuwa anaipambania timu??Rahisi tu,
Pogba ni mercenary, anafanya United kama daraja la kwenda kucheza kwenye timu za ndoto zake (Madrid na Barca, ametamka wazi)
Wakati Herrera play for the badge (calibre ya akina Roy Keane)
Sent using Jamii Forums mobile app
hizi ni chuki za wazi wazi mnazoonesha sasa hebu nambi kati ya Ashley Young na Pogba nani anaeigharimu timu??Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hizi ni chuki za wazi wazi mnazoonesha sasa hebu nambi kati ya Ashley Young na Pogba nani anaeigharimu timu??
Itakuwa stable kwa kubakia na herrera,matic,perreira,fred??Pogba akihama Man u itakuwa stable sana kwenye Midfield kwani Pogba anafanya makosa mengi sana yanayotugharimu kila mechi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio spurs..Leicester City ndo anakokipiga Harry MaguireHata Maguire Bei yake sio ya mchezo mchezo, Spurs wataka 100+ milion
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka nafasi ya Pogba acheze McTominay ndo tuone kuingo kiko stable..patheticHawa jamaa wanaongea tu sidhani kama wanaelewa wanachokisema! Pogba ni level ya World class alafu utasikia wengine wanasema ni mchezaji wa kawaida aisee!
Kuna madogo wengi wanakaza sana pale kati.
Mimi huwa nachukia sana kumuona Pereira bench wakati anaweza kucheza nafasi nyingi tu na akafanya vizuri.
Kumuona Pogba anacheza 10 wakati mata yupo bench ni kama kumtusi Mata.
Bei ya maguire umeisikia lakiniKwanini Man u wasimsajili Harry Maguire badala ya huyo Raphael Varane ambaye Madrid watahitaji mzigo mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah HIV man u mnataka wachezaj wa aina gani lakini,
Mimi katika viungo nawakubali ni Paul pogba ,ana skills, ana mashuti, anajua kuassist, ana nguvu
Mnataka kiungo wa namna gani tena, huyu jamaa ni kati ya viungo bora watano duniani,
Kwanza pogba ndio mchezaji ambaye anaingia MOJA kwa MOJA kwenye falsafa ya man u ,ya kuattack kwa kushtukiza , anajua kutuma ile mipira ambayo huwa Mara nyingi rashford au lukaku wanafaidika nayo.
Huyu jamaa mtafutieni watu wakueleweka kama wawili tu, Pogba ni hatari sana, muangalie game za France , juzi kampa pasi MOJA Grizeman ,ile assist ni ya kiufund sana,
Sasa pogba mtafutien watu ,walio clinical,
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba