Southampton (the saints )ni timu moja ya ajabu sana inasifika kuwa na academy iloibua vipaji lukuki huku Liverpool akiifanya kama soko matola yake kwa kuchukua wachezaji wengi hapo. Sijui huwa wanakwama wapi?
Man city fans watakua na Tot ila Iyo game liverpool awe serius...ishu za ubingwa watapigana na city kivyao..watuchafulie tot kwanza hlf tuwaache 3 points wakat tunafikiria leo. Tot fans watakua na Man city wakat tukicheza na Man city wakat liverpool fans atakua nasi tukicheza na City