Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Game ya arsenal na madrid hazina maana hapo kuna game ya chelsea na spurs
 
Kwa kikosi cha leo tutakuwa na wakat mgumu sana pale katikati
Kwanini?

Fredy akikaza msuli game ni nyepesi

Maana Tominay na Pogba tunajua wanaweza kufanya jambo pale kati

Dalot atacheza winger

Back four ndio iliyopata clean sheet match 3 za hivi karibuni

Sina wasiwasi na Lukaku akipata service

Sanchez ana jambo la ku prove



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…