Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,165
Hahahaaaa.. Mnajisahau mnoo. Tukutane jioni.Mkuu tunguli na ramli zinaruhusiwa lakn kwa hii united sasa hivi andaa panadol za kutosha we are the famous Manchester United
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kuna maneno maalumu kwa ajili ya watu fulani ambapo wakiongea wengine tayari itakua nongwa. Hayo maneno aliyaanzisha EVRA siyo.?Nimesoma maneno yako hadi mwisho na maneno ya mwisho umeandika "Hahahaaa i love this game" haya maneno anasemaga patrice evra mwenye DNA ya united...sasa wew kuna namna una DNA ya man u..bora utusapot tu
Hivi unafahamu hata mechi za jana tayari ni historia?Sasa Ahadi imetimia!
Tuliitwa Wana Wa Historia, Lakini sasa ni faraja kuwa tumepata Wanahistoria wenzetu wanaojivunia Mafanikio (EPL) ya Ferguson
Mkuu sasa tunapiga mahesabu ya kumshusha spurs pale juu ww ongea na Arsenal kwanza #levelsTatizo zamu yako bado halafu unataka kunyang'anya badala ya kusubiri kupewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahhaaaaa lakini ushindi wa man city ni hasara kiupande wako, upande mwengine ni bora adui mkimya kuliko adui mwenye kelele.Tumia muda wako vizuri coz jioni utapotea hapa manake nawahakikishia leo munaliwa 4G
Tayari nimeshakodi Viti 400 kwa akili ya Matanga
Sasahivi natafuta mtu wa Kukodi Matents tu na Maturubali, Kula kila mtu kwao.
Tumia muda wako vizuri coz jioni utapotea hapa manake nawahakikishia leo munaliwa 4G
Tayari nimeshakodi Viti 400 kwa akili ya Matanga
Sasahivi natafuta mtu wa Kukodi Matents tu na Maturubali, Kula kila mtu kwao.
Baily,naona confidence yake imeanza kurudiKati ya Jones na Bailly nani utampanga na Lindelof jumanne??
United Fan
Pep gurdiola:" sawa, man cty tutapoteza point ila liverpool nao pia hawajaenda Old Trafford kucheza na utd".
Hapa pep anatuaminisha kuwa piga ua galagaza liver haondoki na point OT
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa....Mkuu sasa tunapiga mahesabu ya kumshusha spurs pale juu ww ongea na Arsenal kwanza #levels
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiumize kichwa. Matent ninayo mwenyewe wala usihangaike kwenda kukodi. Mtayapata msibaniTumia muda wako vizuri coz jioni utapotea hapa manake nawahakikishia leo munaliwa 4G
Tayari nimeshakodi Viti 400 kwa akili ya Matanga
Sasahivi natafuta mtu wa Kukodi Matents tu na Maturubali, Kula kila mtu kwao.
Ingetakiwa wawe na kikosi kamili kama sisi....njia ya visingizio inaanza onekanaView attachment 1018767
Hawawezi kukaa meza moja maana ndio mafundi wa kutangaza mpira pale epl ongezea na martin taylor ila ashakua babu huyuHasa akiwa na john champion au jimmy belgrin