Yeah muhimu ni kuamini katika mpira wetu tunaweza kupata matokeo positive sijawadharau mkuu najua game zilipita burnley ni kama wameanza kufufuka hivi but let's hope for the best lads
Baada ya majeruhi ya martial nilitegemea sana kumuona Sanchez ...kushika nafasi yake huku rshid akicheza katikati akitokea kulia...
Kumbe Ole anaplan zake ambazo hadi sasa hazijazaa matunda..
Rashiford hayupo ofisin leo anazubaa sana... ole ameamua kua anafanya switching kat ya pereira na Young ..young akipanda mbele na kupiga kross kwa akina Lukaku.... kross ambazo hazioneshi kuleta matunda maana jamaa ni warefu na wana physic nzuriii...
Nadhan Lingard na sanchez wanahitajika zaid tucheze kama tunavyocheza na sio kujaribu kitu kipya