Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii inanikumbusha game moja hivi na Chelsea, Mou akawa anawauliza kwa ishara Chelsea kuwa haoni shuti golini. Mechi iliisha Chelsea zero shot on target.
 
Kipindi cha kwanza Totts wamekamatika sana, ni mara chache sana Spurs anamaliza dakika 45 bila shuti lililolenga lango (zero shot on target).
Walitubana sana kati na sissoko alikuwa akifanya maisha yetu kipindi cha kwanza yawe magumu kidogo.

.
 
United wanaongoza lakini wamecheza vibaya first half, Very poor pass accuracy, Martial ana dribble hovyo pia, kadhalika wakipata mpira hawaonani fresh, hopefull watajirekebisha second half. Fullbacks wanaingia sana kat kat na wanaingizwa sana pia na mpinza anae dribble kuingia ndan, kwa style hii Psg bado njia yake kwny UEafa itakuw rahis

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief tulimalize hili la spurs kwanza ndio tumuangalie PSG. Tunaenda second half tuone kama yajayo yatafurahisha au tutakutana na come back ya hatari

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…