Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,927
- 27,166
At the end you have to understand the saying NOBODY IS PERFECT. Wenye timu wenyewe ndio waliona umuhimu wake wakatoa hela.Moja ya takwimu zake toka aanze EPL hadi sasa ni hivi:-
Appearances-225
Goals-105
Big chances missed-75
Shorts- 641
Shorts on target- 293
Short accuracy-46%
Kwa Mimi timu kubwa kama Man United kumtegemea mtu mwenye short accuracy ya asilimia 46 ina ukakasi asee. Na takwimu hizi ni za Premier League wenyewe siyo Mimi.
Ushabiki umeanza tena wa kumlinganisha lukaku na hazard yaan lukaku hata afunge magoli laki till hazard ni moto wa kuotea mbalihaters wa Lukaku njooni! hapa hazard ana goal la penalty na akiongeza umakini kidogo Lukaku ni hatari sana View attachment 868807
Katengeneza ngapi??Sio jukumu lake kufunga yeye ni kutengeneza nafasi
Mkuu hawa hawana jipya tenaMimi na wewe ni nani aliye ongea povu? Mimi nmeuliza swali na badala ya kujib unaanza leta majibu za kipemba. Msimu ulitarajia makubwa sana lakini unaona upepo unaelekea kusini na ulitegemea ue nde kaskazin ..sasa ndo maan umekuwa ukiongea ongea tu
Mpeleke
Manchester united sio sawa na chelsea ambayo haijawah hata kuwa na mchezaji aliyebeba tuzo ya duniaPogba akiondoka apo man u mtapata tabu sana. Maana hamna kiungo cha kumweka nje pogba. Na hilo mou analielewa kabisa.
hizo ni statistics kijana don't panic haya angalia wenzako hapo chini sio mimi na hata sijapiga kuraUshabiki umeanza tena wa kumlinganisha lukaku na hazard yaan lukaku hata afunge magoli laki till hazard ni moto wa kuotea mbali
Mpira hauchezwi mdomoni na utabiri wako kama huo huyo juve anashindwa hata kumfunga chievo au unaangalia majina ile suluhu aliyoipata wolves kwa man city ni level moja ya bei ya vikosi???Mkuu hawa hawana jipya tena
Naona ni lawama kwa pogba na mou. bc sasa wakakutane na juve na huo mtafaruku wao watakufa 7 nakuapia
Povu hiliMpira hauchezwi mdomoni na utabiri wako kama huo huyo juve anashindwa hata kumfunga chievo au unaangalia majina ile suluhu aliyoipata wolves kwa man city ni level moja ya bei ya vikosi???
Woga wako tu ulichopost ndicho ulichojibiwaPovu hili
Mzee unahasira
Kwan hujui kazi ya shabiki
Wacha mambo yako
Shabiki yupo kwa ajili ya morali tu
Haimaanish kila asemacho shabiki bc ni sawa
Nimeandika kwa kuruka mistari ulewe
Ukipanic nakupiga na kwenzi
Subir kuaga cl kwenye makundi huna chako kwa sasaWoga wako tu ulichopost ndicho ulichojibiwa
Sasa wewe unaogopa ndo mana yamashindano hamna timu zinzosonga zoteSubir kuaga cl kwenye makundi huna chako kwa sasa
Hvi unajua maana ya EUROPE???hizo ni statistics kijana don't panic haya angalia wenzako hapo chini sio mimi na hata sijapiga kuraView attachment 869674
Kumbe hujui maana ya ushindani ndio maana ushakata tamaaSasa wewe unaogopa ndo mana yamashindano hamna timu zinzosonga zote
Nakujibu hivyo kwa kuwa nakuhurumia wewe si level yangu kimsingi unatakiwa uvunje rekodi ya leicester city kubeba epl kisha uje hapa huna kombe la epl ni kama nacheza na toi hapaKumbe hujui maana ya ushindani ndio maana ushakata tamaa
Na unajua dhahir mzika wa juve na valencia hamuuwez
Peleken mkapaki bac mpunguze idadi ya magoli tu maana hamna mbinu tofauti na hyo
Ukizungumzia hixtoria ntakuambia kua nina cl nying kuliko wew jambo amblo halina msingiNakujibu hivyo kwa kuwa nakuhurumia wewe si level yangu kimsingi unatakiwa uvunje rekodi ya leicester city kubeba epl kisha uje hapa huna kombe la epl ni kama nacheza na toi hapa
Kwa sasa manu mnacho izid liver ni mapato tuNakujibu hivyo kwa kuwa nakuhurumia wewe si level yangu kimsingi unatakiwa uvunje rekodi ya leicester city kubeba epl kisha uje hapa huna kombe la epl ni kama nacheza na toi hapa
Champions lig bado unayo moja nne umebeba miaka y 68 huko kama ni historia sijui zilikuwa zinaitwa takataka gani huko mwaka 1992 ikabadilishwa jina nakuitwa uefa champins league ulikaa kama miaka 27 hivi hadi 2005 we liverpool jikatae hapa hupawezi.Ukizungumzia hixtoria ntakuambia kua nina cl nying kuliko wew jambo amblo halina msingi
Just talk about current
Kwa hiyo epl unazo? Miaka minne ya ligi nakufumua halafu unajitia upofu anza kufuta utejaKwa sasa manu mnacho izid liver ni mapato tu