Nlipitia video zake Mkuu,, yupo vizuri sana kwenye options zilizopo..
Kwangu mimi yeye ndie namba moja
Pili ni Jorginho
Tatu Fred
Nne Serri
Kroos najua hapatkani plus umri na njaa pia hana now..
Savic atamsaidia sana Matic na Pogba plus Uwepo wa Ander tutakua vizuri sana ila ikibidi aje na Fred,,
Mkubwa Fella kama ataondoka waje Savic na Fred..
Huyu kocha pumbaf sana.. bado kamuacha Martial..na ujinga wote anaofanya. Fellaini anapambana Lukaku hayupo ndio anajitahidi kupiga mipira vichwa pale mbele na kamtoa
Huyu kocha pumbaf sana.. bado kamuacha Martial..na ujinga wote anaofanya. Fellaini anapambana Lukaku hayupo ndio anajitahidi kupiga mipira vichwa pale mbele na kamtoa