Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila siku nasema Mou ni Tatizo kubwa Man U mnapinga kisa kamfunga Chelsea Juzi sina imani na Mou na hata matokeo ya hivi asilimia kubwa yanachangiwa na uwepo wake.

Lazima tukubali muda wake kama mkufunzi wa soka umeisha, Siku akitoka Mou nitaanza kuona Man U mpya.
 
 
Hata mrudishen LVG na Moyes
 
Young na Valencia wanafanya nni uwanjani???tutaficha wap hii aibu kesho jamani..
 
Game kama hii
Unamuweka mata na rashford
nje na unataka ushind

Mou n mjinga tu kama Wenger
Wacha wapgwe tu
 
Ndaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan
Ndaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan

Kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mwenzio akinyolewa zako tia maji

Kama co vuz bas hata kwapaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…