Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hivi yule olechuga sijui nani amepotezwa na watu wasio julikana mbona simuoni kuja kuchangia
 
Mamaesta Urinated.
Hivi umepotea, hali ya hewa inakusumbua umekusudia ,unataka kuwa maarufu kwa mambo ya kijinga au basi tu huna cha kufanya na bando lako !!!?
Wenzako wengi sana wanakuja huku kwa style hiyo hiyo, kama ni kiki rudi kajipange au vamia uzi mwingine wa wakolomije na magurugujo.
 
Povu hili, manure urinated mashabiki wake wengi ni watu wa hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…