Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool ameshalambwa 2-0 ngoja niende Instagram kwa profesa J nikatapike maana siku hizi anaongea sana Vs Manchester United
 
Man u hawana lolote kazi kuchonga tu mpira hakuna na msimu huu lazima warudi nafasi yao walioizoea ya sita
Ngoja baada ya gemu mbili zinazokuja mtaona wenyewe
Kwisha habari yenu

Mtabiri mzur sana cha ajabu huwezi kutabir matokeo ya timu yako mnapigwa kama kawaida ktk mashindano yote timu unayoitabiria imepoteza mech moja leta matokeo ya timu yako tuyajue kwanza mfikirie spurs kumpita kabla hujamuazia united na city
 

Kaka punguza hisia kwenye ushabiki...... unajua kwanini Lukaku amenunuliwa na kwa bei hiyo?, unajua kwanini strikers wanakuja EPL huwa wanapata shida msimu wa kwanza?

City anazidiwa uwezo kwenye ulinzi na Utd, ila uwezo mkubwa wa city upo kwenye middle ambao wengi ni creative kwahiyo wana attack sana na wapo clinical.
Utd haina viungo creative timu yetu ilikua imemzunguka Pogba na pia Matic aliletwa kumsaidia Pogba ili tuwe tuna attack...... ndio maana 4g ilitawala.

Fanya utafiti kidogo nikitulia ntakuja kukupa darasa kwa sasa nipo kwenye simu.
 
United inamzidi City uwezo kwenye ulinzi?Mkuu naomba ufafanuzi kidogo hapo
 
Umeongea point mkuu watu kama nyie mnaojielewa mpo wachache sana.
 
Victor anamsindikiza mtu mpaka anatupia badala amchape kiatu hata akipewa kadi watu watajipanga..

Magoli yote ya jana ni uzembe wa Victor,angekuwa Bailly au Rojo wasingeweza kuvumilia ule ujinga..

Goli la kwanza atalaumiwa Mata lakini bado Victor alikuwa na uwezo wa kuzuia!
 

Unataka nani aje kufundisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…