Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huwa sipendi mfumo huu wa kulinda ujinga...hujafunga goli sasa unalinda nini...just ujinga kuwapa opponent moroli ya kucheza. Huu ushenzi aliufanya antonio conte.

Nahisi Mou pia...anamuaminisha Klopp anakuja kulinda...naaamini kipindi cha pili haji kulinda tena.
 
Ashley Yung naona anapwaya pamoja na mwenzake Darmian, Salah anatiririka tu kule yani hakuna plan nzuri ya kupeleka mashambulizi
 
Nna imani kipindi cha pili tutashambulia let's hope tumedefence kwa kipindi cha kwanza pekee ambacho ndio liver huwa wakali zaidi.....
 
Kujilinda ndio asili ya Mourinho labda kama ww ni mgeni kwa hilo hata asajili world class player 7 lakini hatoacha kujilinda kiufupi ana asili ya uoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…