Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matchday vs crystal Palace..wamepoteza mechi zote..hawajafunga hata goli moja...TUSITEGEMEE MECHI RAHISI..Tuweke kikosi as if tunacheza na CHELSEA au ManCity..tusiwadharau hawa watoto..wakibaatisha goli moja wanaweza kupaki basi hadi dakika ya 90.ikawa ni aibu kwetu..! GGMU!! GGMU!!
 
Ni kweli mkuu, inabidi tuwalegeze mapema sana!
 
Huenda Fellain na Valencia wakacheza mechi ya leo...inasemekana wameonekana kwenye hotel ya Lowry ambayo wachezaji wa United huitumia kwa mapumziko kabla ya game...
 
Huenda Fellain na Valencia wakacheza mechi ya leo...inasemekana wameonekana kwenye hotel ya Lowry ambayo wachezaji wa United huitumia kwa mapumziko kabla ya game...

Na iwe hivyo
 
Naimani na team leo tunashinda mapema kabisa japo nimeona refa ni Mike Dean dah!! Jamaa huwa simuelewi kabisa kwenye game zetu ambazo huwa anachezesha natabiri tutashinda 3-0.

#GGMU#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…