Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wengi wanasahau ana miaka 19 tu. Katika umri huo mara nyingi mchezaji hata akiwa na kipaji huwa hana maamuzi sahihi. Anaweza kutaka kufunga sehemu ya kutoa pasi au akatoa pasi sehemu ya kufunga.
 
Wengi wanasahau ana miaka 19 tu. Katika umri huo mara nyingi mchezaji hata akiwa na kipaji huwa hana maamuzi sahihi. Anaweza kutaka kufunga sehemu ya kutoa pasi au akatoa pasi sehemu ya kufunga.
 
  1. wanasema yule goal keeper namba mbili wa manchester united ni bora zaidi kuliko kipa namba moja wa liverpool fc (jahazi asilia)
  2. wanasema defence iliocheza jana ya manchester united ni bora zaidi kuliko defence ya kikosi cha kwanza cha liverpool
  3. wanasema viungo wa kati walioanza jana kwenye kikosi cha manchester united ni bora zaidi kuliko viungo wa kati wa liverpool wanaocheza kikosi cha kwanza.
  4. pia wanasema safu ya ushambuliaji ya manchester united ilioanza jana ni bora zaidi kuliko safu ya ushambuliaji ya liverpool ambayo imepiga mashuti 80 ndani ya mechi tatu na kufunga magoli matatu tu.
  5. wanasema rio ferdinand hakupaswa kujiunga na mchezo wa boxing ila jordan henderson ndiye aliyepaswa kujiunga na mchezo wa boxing au mchezo wa kufukuzwa na ng'ombe.
  6. lakini wenyewe wanasema alex oxlade chamberlain bado ni mtoto ila akikuwa atakuwa hodari kuliko antony martial.
  7. lakini pia wenyewe bado wanaamini ya kwamba wao wana timu kubwa kuliko manchester united
  8. pia wanaamini ya kwamba mwalim wao ni bora kuliko mwalim wa manchester united
  9. pia wenyewe wanaamini ya kwamba Dominic Solanke atakuwa ni mchezaji hodari zaidi ya lukaku
  10. pia wanaamini ya kwamba wana uwezo wa kuipiku manchester united na wao kuwa brand bora ya biashara
  11. kupata taarifa kama hizi andika neno liverpool champion na utume kwenda namba 1989

 
Mourinho on verge of breaking an amazing record

Under David Moyes and Louis van Gaal, the fortress that was Old Trafford became a happy hunting ground for sides who would never typically stand a chance.



However, Jose Mourinho - famed for an incredible home record throughout his managerial career - has returned the Theatre of Dreams to it's formidable status as one of the toughest away days in the country.

He is close to breaking Sir Alex Ferguson's home unbeaten record of 37 games which was set in 2011.

Ferguson, widely considered to be the greatest manager of all-time, won 13 Premier League titles during his 26-year stay in Manchester.



The Reds are currently 33 home games unbeaten in all competitions and face Burton Albion, Crystal Palace, Spurs, Benfica and Newcastle in their next five home games.

Manchester United's last defeat at home came in September 2016 when they lost 2-1 to Manchester City.

Mourinho's amazing home record

Incredibly, Mourinho has only lost 10 home games during his 17 year career in management - four of those came during the 2015/16 campaign in which he was sacked by Chelsea.

The Portuguese coach went nine years without being defeated on home soil until Real Madrid were beaten 1-0 by Sporting Gijon in 2011.



Mourinho seems to have his swagger back and Manchester United are finally a force to be reckoned with once again.
 
Katika miaka ya hivi karibuni Manchester United wamekuwa wakihangaika kupata makombe makubwa haswa la Epl na Champions League lakini wamefanikiwa kushinda Europa League na FA siku za karibuni.

Pamoja na hayo yote lakini mashetani hao wekundu wamekuwa wakipata faida kubwa zinazotokana na masuala ya uwanjani lakini vile vile nje ya uwanja ikiwemo mauzo ya vitu mbali mbali ikiwemo jezi.

Mwaka jana klabu hiyo iliingiza mapato kiasi cha £513m wakitengeneza faida ya £68.9m lakini mwaka huu inaonekana faida hiyo na mapato yameongezeka hadi mapato kiasi cha £518.2m na faida ya £80.8m.

Pamoja na pesa kubwa ambayo United wanaitumia sokoni lakini inaonekana hali yao ya kiuchumi inazidi kupanda kupanda kila sehemu kuanzia pesa wanayoingiza uwanjani na hadi katika masuala ya matangazo.

Kuhusu upande wa mauzo Manchester United pesa wanayopata imeongezeka kutoka £268.0 waliyokuwa wakiipata mwaka jana hadi kufikia kiasi cha £275.2 kwa mwaka huu, huku katika masuala ya matangazo wakitoka £141.2m mwaka jana hadi £194.3m mwaka huu.

CEO wa Manchester United Ed Woodward ameoneshwa kufurahishwa na kinachoendelea klabu hiyo haswa kwa uwekezaji ambao wamekuwa wakiufanya katika kikosi chao cha sasa huku wakitarajia faida kubwa zaidi msimu huu.
 
Bora amfuatilie cavani ambaye dogo Neymar ametaka auzwe😀😀😀😀

Ila haka ka Neymar kana dharau sana, kanajiona kakubwa😀
Mkuu Cavani ni Straiker yani akija atakuwa anachuana na Lukaku, ilhali Sanchez atakipiga kama winger ikizingatiwa Mou alikuwa akihitaji winga ndio maana akawa anamsaka Perisic
 
Ed yukp vizuri, muhimu wakati tunapata faida kiuchimi na makombe muhimu pia tubebe hususan UCL
 
Ed yukp vizuri, muhimu wakati tunapata faida kiuchimi na makombe muhimu pia tubebe hususan UCL

Huyu jamaa kwa biashara ni hatar zaidi hata dili la ronaldo kurud ot alikuwa analitilea udenda sana sema mourinho hakutaka aliangalia zaidi uwanjani yeye ed biashara kampania greizman na ile jez no. 7 waliomtengea wanaitafutia mshindo wa pesa toka kwa mtu sahihi wa kuivaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…