Kwa ujumla Ed ni mzur sana...kwenye usajili kuna hela amabzo bodi huzipitisha , ss Ed anaponunua ni lazima azingatie kiwango alichopewa...ujue hela huwa zinaweza kuingia nyingi na kiulaini tu ila kutoka huwa n kazi pia.
Pia huwa kuna sera za club za ununuaji , sio tu kwasbabu unahela unakua unatoatoa.