Huyo mwana angekua demu kila siku angekua anapigwa mitungo tu, mambo ya msimu uliopita anayatafutiza hadi leo, huyu ndio alikua katega masikio anaomba tusicheze uefa ili aje aimbe ngonjera zake hapa, alipoona tumejihakikishia kucheza hakuposti mwezi mzima humu.
Rooney alishajifia kitambo sana, Everton ndio saizi yake kwa sasa