Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila bado sijamuulewa kwann hana furaha


Sent using Jamii Forums mobile app
Last match hakua na furaha..Ila leo nmeona confidence imeongezeka na amefurahia goal lake.Mau inabidi awe kama zizou unapanga kikosi kutokana na output ya mchezaji (bale vs isco)..Martial sasa ni tishio kwa rashford.
Natamani kumuona akiwa anaanza sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rashford naona kama anakuwa overated sana..martial ni mtulivu sana anapopata chansi..so ni best kuliko rashford..so far amecheza dakika hata 30 hazifiki mechi mbili ila kafanya kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mipango ya kocha bado ni mizuri na sahihi Rashford akianza awakimbize kimbize mabeki alafu Martial anakuja wakiwa washachoka analeta matokeo na kubadili game planning.

Kwa kushukuru mara zote mipango/maamuzi ya kocha yamezaa matunda chanya kutuletea ushindi.
 
kabisa mkuu rashford anasubiri sana kwa martial..afu leo pia dogo rashford aliendeleza uchoyo wake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester all of a sudden depends on a bunch of NIGGAZ from Afrika!!
Still mnawajua waafrika, asili haipotei, sijaona timu ya kuchukua ndoo ya EPL hapo! Ni kama ufaransa kutegemea 'waafrika' wao ktk timu ya taifa wachukue ndoo ya dunia.
Pumzi inakata vere suun!!
NOTE: Povu linaruhusiwa!!
 
rashford naona kama anakuwa overated sana..martial ni mtulivu sana anapopata chansi..so ni best kuliko rashford..so far amecheza dakika hata 30 hazifiki mechi mbili ila kafanya kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani.

Rashford ana umuhimu ndio maana anaanzishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…