Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu.....una updates zozote kuhusu usajili wetu au tushafunga kabisa dirisha letu la usajili? kulikuwa na hawa tunawahitaji imekuwaje

1.Perisic
2. Serge Aurier



Sent using Jamii Forums mobile app

Jana Mourinho alisema karidhika na kikosi chake na alitaka mchezaji mmoaja ambae ataweza kucheza kama Wingback. Kwahiyo akimpata uyo mchezaji atamchukua, akimkosa haitakua na shida kwasababu kikosi chake kimekamilika.

Full Mourinho transfer update

“Unless something happens that puts us in the market again. Obviously, my plans were four but I also told them to be cool, there is no pressure from me, do what you think is best for the club. We will be together again for another window in January and one next summer so there is no pressure at all from me. I am happy with the squad we have. I’m ready to go without a fourth signing.”

*Mourinho on Martial*: "I have faith in him. The player I was looking for allows me to play three at the back and play as a wing back"
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Kwenye Eneo la holding Midfield ( Kiungo Mkabaji) kwa sasa Eneo hilo limeshamilikishwa kwa Nemanja Matic, Nafasi ambayo alikuwa anacheza Herrera ...


Herrera Kwa sababu aende Kupigania namba Na wakina Pogba Kwenye Attacking Midfield ( Kiungo ushambuliji) ...




Sent From My Nokia Ya Tochi
 
mi kwa upande wangu naungana naye kabisa kwa kweli.....kikosi chetu kina dimension nzuri sana na kila eneo lina watu wengi sana mpk wengne tulianza kuwatoa kwa mkopo mfn Mensah aliyeenda Crystal Palace

Madogo wetu pia wapo vizuri kwenye academy yetu...hatuna budi kuwapa uzoefu kidogo kidg hasa kwenye League Cup, FA cupna hata sub za mwishoni mwishon mwa mechi.....

Hebu angalia msululu huo wa wakali wetu ambao wengne waling'aa kule kwenye US Tour mwezi wa sita na saba mwaka huu

1. D. HENDERSON
DOB: 12/03/1997 Position: Goalkeeper

1. I. MOUTHA-SEBTAOUI
DOB: 01/04/1999 Position: Goalkeeper

2. K. O'HARA
DOB: 22/04/1996 Position: Goalkeeper

4. J. KENYON
DOB: 02/01/1999 Position: Defender

5. D. MITCHELL
DOB: 11/01/1997 Position: Defender

M. OLOSUNDE
DOB: 07/03/1998 Position: Defender

R.S. WILLIAMS
DOB: 03/09/1998 Position: Defender

R. POOLE
DOB: 18/06/1998 Position: Defender

C. SCOTT
DOB: 02/09/1997 Position: Defender

T. WARREN
DOB: 05/10/1998 Position: Defender

T. SANG
DOB: 29/06/1999 Position: Defender

J. RILEY
DOB: 06/12/1996 Position: Defender

S. MCTOMINAY
DOB: 08/12/1996 Position: Midfielder

C. WHELAN
DOB: 24/09/1998 Position: Midfielder

T. KEHINDE
DOB: 18/06/1998 Position: Midfielder

D. BUFFONGE
DOB: 07/11/1998 Position: Midfielder

C. GRIBBIN
DOB: 18/12/1998 Position: Midfielder

D. REDMOND
DOB: 19/09/1996 Position: Midfielder

na wengne kibao ambao kama tunawapa exposure wanaweza kuwa nguzo kubwa ya Man Utd cku za mbeleni. Tusisahau kwmb Barcelona iliyotesa cku za hv karibuni kati ya 2005-2015 yote yalikuwa ni matunda ya La Masia ambayo ni academy inayoproduce wachezaji wengi sana wa Barcelona bila kusahau pia Real Madrid ambao wanawapa sana madogo exposure inayowajenga na kuwa wachezaji wakubwa bdae

Ni maoni yangu tu wadau
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

 
[HASHTAG]#Swans[/HASHTAG] line-up v manutd: Fabianski, Naughton, Fernandez (C), Bartley, Mawson, Olsson, Roque Mesa, Fer, Carroll, Ayew, Abraham.

[HASHTAG]#SWAMUN[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…