Martial baada ya kupokonywa jezi namba na kupewa Ibra kidogo akaanza kuyumba na Matatizo ya kifamilia akazidi kuwa down + plus banch na kauli za Mou akajiona Mnyonge lakini now amekubaliana na hali na nafasi imepatikana hana cha kupoteza sasa.
A prove kipaji chake,tuna game ngumu mno zinazofata na pressure ipo juu.