Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kulingana na refa hizo ni yellow mbili kwa hiyo red card lakini ilikuwa ni faulo ya yellow?
 
Red card dhidi ya Herrera kwa faulo ya kwa Hazard ndiyo gumzo
Hata faulo ya kwanza ni utata!

Ukiangalia vizuri utaona intention ya Hazard kabisa...

Alishatoa pasi tayari...na Herreza alikuwa amefocus kufuata mpira but on the spot Hazard anajigonga kwa Herrera..
 
Hata faulo ya kwanza ni utata!

Ukiangalia vizuri utaona intention ya Hazard kabisa...

Alishatoa pasi tayari...na Herreza alikuwa amefocus kufuata mpira but on the spot Hazard anajigonga kwa Herrera..
Endeleeni n.a. rafu sisi tunacheza boli
 
Hata faulo ya kwanza ni utata!

Ukiangalia vizuri utaona intention ya Hazard kabisa...

Alishatoa pasi tayari...na Herreza alikuwa amefocus kufuata mpira but on the spot Hazard anajigonga kwa Herrera..
Hii gemu ilikuwa ni ya mashambulizi sasa refa kaigeuza na hii red card imekuwa mechi ya kuviziana kama gorrila warfares
 
Hata faulo ya kwanza ni utata!

Ukiangalia vizuri utaona intention ya Hazard kabisa...

Alishatoa pasi tayari...na Herreza alikuwa amefocus kufuata mpira but on the spot Hazard anajigonga kwa Herrera..
Refa amekuwa mwepesi sana kitoa zile kadi..

Faulo ya kwanza hadi sasa sijaielewa..

Ila ndio mpira huo.. Naamini watarudi wakiwa na roho ya kukaza zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…