Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliyemkanyaga kichwani kwa makusudi IBRA bado yuko uwanjani. Fa italimulika hili
 
Tuache kupanic mbona wanacheza vizuri tu hiyo penalty yenyewe ukiangalia Jones hajamgusa kabisa lakini ndio mpira, lakini we're playing good wachezaji wanashambulia, wanakaba speed kidogo wameongeza so tusiwe watu wakulaumu kwani hata wenzetu wamejipanga cheki kipa wao yupo fresh but so far so good
 
Bournemouth wana upungufu wa mchezaji mmoja kwa hiyo kibarua chao ni kutoka sare
 
Wakifungwa bao la pili tegemea wanyeshewe mvua maana itabidi washambulie na hivyo kuruhusu mabao
 
Tunakosa wachezaji kwenye njaa kama Costa. Joans amekosa confidence kabisa baada ya kusababisha penati. Mechi ni ngumu kwasababu tension IPO juu na refa anaweza kutoa kadi nyekundu zingine kipindi cha pili.

Tukifungwa au kutoa draw Leo, nitaumia sana.
 
Huyu mchezaji Wa Bournemouth aliyemkanyaga IBRA kivhwani atafungiwa mechi kibao kwani angeweza kumwuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…