Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni rahisi saana kwa aseno kufuzu raundi ya 16 uefa, kuliko manchester kuingia top foo
labda Ferguson arudi
Naona umeamua kuhamisha magoli. Kama unahitaji home theatre system yenye sound bora nakushauri chukua Germany brand Grundig 5.1
 
. Kama habari picha inavyojieleza ila huyu jamaaa ni the best ila simkubaligi kwenye mechi zetu united..... Good luck clatenburg for good
 
Wakuu kuna program moja ya kucheki gem haipatikani play store ila kuna wakati nilikuwa nacheki tv mbali mbali kupitia hyo jina sikumbuki sana ila ni kama vile mabodlo so mwenye ufaham anisaidie natanguliza shukurani za dhati
 
Jamani kwa wale wenye Azam, hivi mpira wa Man U na St. Etienne hawaonyeshi TV1 au ZBC!? Kwa mwenye taarifa juu ya hilo jamani anijuze tafadhali.
 
Naked truth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…