Manchester United (Red Devils) | Special Thread

<p>
 
manu wamebebwa sana tu wala hakuna kukataa hivi mpaka lini mtakuwa hivi ndio kwenye International mnakuwa mdebwedo
 
...HODI! napita tena,....mpo kimya sana humu, kunani leo? haya...nitarudi,...khe khe khe khee!
 
Na tumewabaka.....hli goli ata Mbu atakuwa ameshangilia...Chicharito mtu wake sana...hahahahaha!
 
<p>
manu wamebebwa sana tu wala hakuna kukataa hivi mpaka lini mtakuwa hivi ndio kwenye International mnakuwa mdebwedo
</p>
<p>&nbsp;</p>

Nyie ambao hambebwi kwenye intaneshno mko wap?..kam a hujui tunaelekea Wembley.
 
<p>
<font face="Book Antiqua"><font size="3"><font color="darkred">...HODI! napita tena,....mpo kimya sana humu, kunani leo? haya...nitarudi,...<i>khe khe khe khee</i>!</font></font></font>
</p>


Sema shida yako kijana, sio unanyatia tu...tupo...tumejaa tele, unles PC yako ina makengeza.
 
MAN U wakishinda basi wanabebwa...bullshit hamna ya kuongea kaeni kimya basi....
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

Nyie ambao hambebwi kwenye intaneshno mko wap?..kam a hujui tunaelekea Wembley.

Mkuu achana nae ni chuki binafsi wameumia sana leo United kushinda maana walitaka wapoteze hahahaha
 
Duu raha sana goli 1 point 3 na sio goli 3 point 1 hahaha
 
Hongereni Wakuu points sita nyingine katika michezo yenu iliyobaki itawahakikishia kwamba mnarudisha tena taji pale Old Trafford. Kwa jinsi EPL ilivyoanza mwaka huu sikutegemea kabisa muwe mabingwa maana wale Chelsea walianza vizuri sana. SAF na timu yenu wanahitaji pongezi za hali ya juu kwa kujituma katika kila mechi tena kwa dakika zote 90. Nimeipenda hii defence ya Everton imetulia sana pamoja na mashambulizi ya mfululizo ambayo mliyaelekeza kwao lakini walittulia hadi dakika za mwisho ambapo juhudi zenu zikazaa matunda. Ingekuwa timu yangu si ajabu tungefungwa tatu au hata zaidi. BJ & Co hongereni sana.
 
Haya hayaaaaa.....title ya 19 ileeeeeeeeeeeeee!

Nani kama Man Utd?!
 
kumbe watu wa Manu mlikuwako mlikuwa kimya vipi pressure?
Wachovu sasa utawasikia eeehe tulikuwako tokea mwanzo mbona hamsemi
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…